Epuka kuhukumu kabla ya kujihukumu katika ndoa

Tutaanza na kisa tulichoshuhudia kwa ndugu yetu mmoja. Huyu bwana kuna kipindi aliachishwa kazi. Hivyo, alianza kuamka kila asubuhi akielekea mjini kusaka vibarua ili mkono uende kinywani. Ulipita muda bila kuwa na namna ya kujiingizia kipato. Alifanikiwa kumtafutia mkewe kibarua kwa ndugu yake. Mama alifurahi kupata kibarua na kuingiza lau kipato. Hata hivyo, yule mama…

Read More

ANTI BETTY: Naomba mbinu nimpange mume wa mtu anioe

Swali: Mume wa mtu ananihudumia na kunijali mpaka natamani awe mume wangu. Huu mwaka wa tatu nipo naye, naomba mbinu ili afikirie kunioa, kwani pamoja na kunijali hajawahi hata siku moja kuzungumzia kufunga ndoa na mimi. Ndiyo najua ameoa, tena kanisani, ila angalau angenitania nijue kuwa ipo siku tunaweza kufanya maarifa ya kuoana. Hakika ninampenda…

Read More

Zanzibar yatangaza bei mpya ya umeme

Unguja. Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), imetangaza bei mpya elekezi kwa watumiaji wote wa umeme kisiwani humo ambapo zitaaza rasmi Januari 20, mwaka huu. Kwa mujibu wa Zura, ilipokea maombi ya kubadilisha bei za umeme kutoka Shirika la Umeme Zanzibar (Zeco) kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya matumizi ya…

Read More

Sababu za Wasira kuteuliwa CCM

Dar/Mikoani. Ukomavu katika siasa, misimamo katika ukweli, ushupavu wa uongozi na uchapakazi vinatajwa kuwa sababu ya Stephen Wasira kuteuliwa na kisha kuchaguliwa kuwa makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Wasira ametangazwa kushika wadhifa huo na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uchaguzi uliofanyika kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano…

Read More

Konokono wazua balaa mashambani Mbeya

Mbeya. Wakulima Mikoa ya Songwe na Mbeya wamejikuta katika taharuki kufuatia konokono kushambulia na kuharibu mazao yao shambani. Changamoto ya viumbe hao inatajwa kuanza kutokea tangu mwaka jana ambapo athari haikuwa kubwa kulinganisha na mwaka huu ambapo mvua zinaendelea kunyesha. Wakizungumza na Mwananchi leo Januari 18, baadhi ya wananchi waliokumbwa na uharibifu huo wamesema bado…

Read More

Pamela Maasay katibu mpya Bawacha

Dar es Salaam. Pamela Maasay amechaguliwa kuwa Katibu wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) akimbwaga Catherine Ruge aliyeshindwa kutetea nafasi hiyo. Katika kinyanganyiro hicho Catherine alipata kura 34 sawa na asilimia 40, mgombea mwingine Esther Daffi akipata kura 15, Pamela akiibuka kidedea mbele ya washindani hao wawili kwa kura 37 sawa na asilimia 54. Uchaguzi uliompa…

Read More

Expanse Kasino Tournament ipo Ukingoni Milioni moja Kunyakuliwa

  SHINDANO la Expanse kasino linaelekea ukingoni ambapo ni dhahiri milioni moja taslimu ambayo ilikua ikishindaniwa ipo mbioni kutoka, Cha kufanya wewe mdau wa michezo ya kasino endelea kucheza michezo ya kasino uweze kuibuka mshindi. Meridianbet kwa mara nyingine tena wanakuletea shindano la michuano ya kasino inayofahamika kama shindano la mabingwa ambapo mshindi ataondoka na kitita cha…

Read More

SERIKALI YAOMBWA KUMALIZIA FEDHA ZA MRADI WA MAJI WA MIJI 28 UNAOTEKELEZWA KATIKA MJI WA SONGEA

Na Mwandishi Wetu,Ruvuma CHAMA cha Mapinduzi wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,kimempongeza Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Sh.bilioni 145.77 kwa ajili ya kuboresha huduma ya maji kwa wakazi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma. Pongezi hizo zimetolewa jana na Mwenyekiti wa Chama hicho Mwinyi Msolomi,wakati wa ziara yawajumbe wa kamati ya Siasa ya Chama…

Read More