Yanga yakwama kwenda robo CAFCL

YANGA imeshindwa kukata tiketi ya kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo baada ya jioni hii kulazimishwa suluhu na MC Alger ya Algeria kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. Timu hiyo inayonolewa na Mjerumani, Saed Ramovic ilihitaji ushindi wa aina yoyote ile ili ifuzu tena robo…

Read More

Wakulima Makiba walia kufungiwa maji, mazao kukauka

Arumeru. Baadhi ya wakulima wa mazao mbalimbali wa Kijiji cha Makiba Wilayani Arumeru, Mkoani Arusha, wamelalamikia kufungwa kwa mfereji wa maji ya kumwagilia mashamba yao na kusababisha mazao yao kukauka kwa ukame. Wakulima zaidi ya 5,000 wameathirika na hali hiyo kutokana na ekari zao 1,000 za mazao mbalimbali ya mahindi na mbogamboga kukauka kutokana na…

Read More

Wasira aanza kazi na mambo mawili

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amewashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa chama hicho kwa kumchagua, huku akisema anaianza kazi hiyo kwa kuhakikisha chama kinaendelea kushinda  katika uchaguzi na kushika dola. Pia, amesema atahakikisha anasimamia umoja, amani na maendeleo. Wasira amesema hayo leo Januari 18, 2025 katika Mkutano…

Read More

Utafiti kubainisha uadilifu watendaji ZRA

Unguja. Wakati watendaji wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) wakitakiwa kuzingatia na kuyaishi maadili katika utendaji kazi wa kila siku, mamlaka hiyo inatarajia kufanya utafiti kubaini kiwango cha uadilifu kwa watumishi wake. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utafiti na Mipango kutoka ZRA, Ahmed Haji Saadat, leo Januari 18, 2025 alipofungua mafunzo ya uadilifu…

Read More

Vifaa vya kisasa vyaongeza ufanisi sekta ya uvuvi

Unguja. Baada ya kufungwa vifaa maalumu kwenye boti za wavuvi vya kuangalia masafa na kiwango cha samaki baharini (PDS), imeelezwa ufanisi waongezeka katika uvuvi. Vifaa hivyo vinavyofungwa kwenye boti vinasaidia kutoa taarifa za wavuvi wanaokwenda baharini iwapo wakikumbwa na dhoruba au changamoto nyingine yoyote. Mwenyekiti wa Kamati za Uvuvi kutoka Pemba, Sheha Abdalla Juma amesema…

Read More

Mserbia apewa masharti KenGold | Mwanaspoti

KenGold imefikia makubaliano ya kumpa mkataba wa miezi sita kocha mpya raia wa Serbia, Vladislav Heric iliyomtambulisha jana Jumamosi, huku akipewa masharti ya kuhakikisha kikosi hicho chenye makazi yake Chunya jijini Mbeya, kinasalia Ligi Kuu Bara msimu ujao. Kocha huyo wa zamani wa Chippa United ya Afrika Kusini, aliwasili nchini juzi kwa ajili ya kukiongoza…

Read More

Watumishi Mwanza kupambana na magonjwa yasiyoambukiza kwa mazoezi

Mwanza. Mkoa wa Mwanza umeanzisha kampeni ya watumishi wa umma ya kufanya mazoezi ya viungo kila Jumamosi ya tatu ya mwezi ili kudhibiti magonjwa yasiyoambukiza. Kampeni hiyo imezinduliwa leo Jumamosi Januari 18, 2025 kwa kutembea na kukimbia kilomita tano. Katibu tawala msaidizi- Miundombinu, Chagu  Ng’oma amesema kwa miaka mitano magonjwa yasiyoambukiza yameongezeka kwa asilimia 65.5…

Read More

ACT-Wazalendo yazindua timu ya ushindi 2025

Unguja. Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Othman Masoud amezindua timu ya ushindi ya chama hicho kwa upande wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Timu hiyo yenye wajumbe 15, inaongozwa na mwenyekiti Ismail Jussa ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa chama hicho upande wa Zanzibar. Pamoja na mambo mengine, timu hiyo itaandaa…

Read More

Pinda akerwa na minong’ono mitandaoni

Dar es Salaam. Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda ameeleza kukerwa na tetesi za mitandao ya jamii ilivyovumisha jina lake kuwa miongoni mwa wanaotajwa kuwa makamu mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara. Nafasi hiyo imeachwa wazi na Abdulrahman Kinana aliyeomba kustaafu Septemba 2024. Tayari chama hicho kimeshamtaja kada mkongwe Stephen Wasira kuwania nafasi hiyo. Akizungumza…

Read More