Mgaya atamani makubwa Coastal | Mwanaspoti

STRAIKA mpya wa Coastal Union, Ally Mgaya amesema anatamani kufanya makubwa akiwa katika kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Juma Mwambusi. Kabla ya kujiunga na Coastal nyota huyo aliichezea Fleetwoods United FC, inayoshiriki Ligi Daraja la Pili UAE. Nyota huyo alimaliza mkataba wa miaka miwili hivi karibuni na kabla ya kucheza Falme za Kiarabu aliwahi kutumikia…

Read More

Yanga yaanza na kikosi cha mabao mengi

KOCHA wa Yanga, Sead Ramovic ameamua kuiwekea MC Alger kikosi cha maangamizi akianza na washambuliaji watatu ambao wamekuwa wapo vizuri katika kucheka na nyavu na kusaidia mashambulizi. Muda mchache ujao, Yanga itashuka kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam kuvaana na wageni wao kutoka Algeria katika mchezo huo wa mwisho wa Kundi A…

Read More

Bwalya ana kiu kurudi Bongo

DILI la Rally Bwalya kutua Pamba Jiji limebuma baada ya viongozi wa Napsa Stars anayoichezea kumuwekea ugumu, huku mwenyewe akifunguka ameumia kushindwa kurejea kuja kucheza Ligi Kuu Bara. Kiungo huyo Mzambia aliyewahi kuichezea Simba, msimu huu alitua Napsa iliyopo Ligi Kuu ya nchini humo na amecheza nusu msimu kabla ya Pamba Jiji kuanza kuihitaji saini…

Read More

TUNAMPONGEZA KINANA KWA UONGOZI WAKE THABITI ,TUNAMTAKIA MAPUMZIKO YALIYO MEMA- RAIS SAMIA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) na Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema kuwa aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Abdulrahman Kinana anapumzika baada ya kukitumikia Chama hicho kwa muda mrefu katika nafasi mbalimbali za uongozi. Amesema Kinana amekuwa akikitumikia Chama tangu wakati wa TANU hadi CCM; kabla ya mfumo wa vyama vingi…

Read More

Kalambo aja kivingine Bara | Mwanaspoti

BAADA ya kipa Aaron Kalambo kukamilisha uhamisho wa kujiunga na Coastal Union, nyota huyo ameweka wazi mojawapo ya malengo yake kipindi hiki cha miezi sita iliyobakia kumaliza msimu, ni kurejesha heshima yake iliyotoweka ghafla. Nyota huyo amekamilisha dili hilo siku ya mwisho ya dirisha la usajili kufungwa Januari 15, baada ya kuachana na Geita Gold…

Read More

Wanufaika wa Tasaf Mwanza waanzisha vizimba vya samaki

Mwanza. Jumla ya Sh34 milioni zimetumika kuanzisha mradi wa ufugaji wa samaki katika vizimba utakaonufaisha kaya 27 zilizopo kwenye mpango wa kunusuru kaya maskini katika Mtaa wa Kayenze Ndogo Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza. Akitoa taarifa ya mradi huo kwa wajumbe wa uongozi wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) kitaifa walioutembelea kuukagua, Ofisa Mtendaji…

Read More

Baada ya mkesha wa siku mbili, Sharifa kuongoza Bawacha

Dar es Salaam. Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha) limemchagua Sharifa Suleiman kuwa mwenyekiti wake, matokeo yanayotajwa kuchora mstari wa mshindi wa nafasi ya uenyekiti Taifa wa chama hicho, Januari 21, 2025. Katika uchaguzi ulioanza Januari 16 na matokeo kutangazwa usiku wa kuamkia leo Januari 18, uliokuwa na vitimbi na vurugu za mara kwa mara,…

Read More

Mfahamu Wasira anayevaa viatu vya Kinana CCM

Dar es Salaam. Stephen Wasira ni mmoja wa wanasiasa mashuhuri wa Tanzania. Amejitokeza katika medani za siasa na maendeleo ya Taifa kwa zaidi ya miongo minne. Alizaliwa Jumapili ya Julai Mosi, 1945 katika Wilaya ya Bunda, mkoani Mara. Maisha yake yamejikita katika siasa, uchumi na uongozi wa umma. Akiwa mwanasiasa mwenye msimamo thabiti, Wasira ameshikilia…

Read More