Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: January 2025

  • Home
  • 2025
  • January
  • Page 9
Habari

STANBIC BANK TANZANIA YATOA WITO WA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA NISHATI NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA EA-ECS 2025

January 30, 2025 Admin

  Stanbic Bank Tanzania inasisitiza dhamira yake ya kuimarisha uwekezaji katika sekta ya nishati na kuwezesha kifedha miundombinu muhimu wakati wa Mkutano wa 5 wa

Read More
Habari

Tanzania yapiga hatua kubwa kwa mujibu wa ripoti ya Absa ya viashiria vya masoko ya fedha 2024

January 30, 2025 Admin

Tanzania imepiga hatua kubwa kwenye sekta ya fedha kwa mujibu wa ripoti ya Absa ya viashiria vya Masoko ya Fedha – AFMI ( Absa Financial

Read More
Habari

Gumzo Albamu Mpya ya Bruce Melodie – Global Publishers

January 30, 2025 Admin

Last updated Jan 30, 2025 Bruce Melodie STAA wa muziki nchini Rwanda, Bruce Melodie ameachia albamu yake mpya iitwayo ‘Colorful Generation’ ambayo ni moto

Read More
Habari

Circumference Ya Bebe Cool Yazidi Kupasua Anga – Global Publishers

January 30, 2025 Admin

Last updated Jan 30, 2025 MKONGWE katika muziki nchini Uganda, Bebe Cool anazidi kuchanja mbuga na kibao chake ‘Circumference’ alichoachia hivi

Read More
Habari

Magonjwa nyemelezi yanavyowatesa vijana wenye VVU

January 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati dunia ikiadhimisha siku ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele leo Januari 30, 2025 nchini Tanzania, hali ya waviu wasiotambua hali zao mpaka kufikia

Read More
Habari

Mwanafunzi adaiwa kujinyonga kwa mtandio Simiyu

January 30, 2025 Admin

Simiyu. Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Simiyu iliyopo mjini Bariadi, Latipha Juma (17) amejiua kwa kujinyonga kwa mtandio chumbani kwake, huku sababu

Read More
Habari

Wasira awajibu wanaosema CCM imekaa madarakani muda mrefu

January 30, 2025 Admin

Bunda. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Steven Wasira amesema wale wote wanaosema chama hicho kimekaa muda mrefu madarakani wanapaswa kufahamu kuwa hakikuwa

Read More
Habari

Wanahisa benki za biashara kuvunja rekodi mamilioni ya faida

January 30, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wanahisa wa benki za biashara Tanzania wanatarajia kupokea kiasi kikubwa cha fedha za faida katika sekta hiyo, jumla ya Sh2 trilioni kwa

Read More
Michezo

Kocha KenGold freshi, BM3 atuliza mashabiki

January 30, 2025 Admin

PAMOJA na kukubali kiwango cha wachezaji, kocha mkuu wa KenGold, Vladslav Heric amesema kazi iliyobaki ni kuongeza makali eneo la ushambuliaji, huku nyota Benard Morrison

Read More
Habari

Takukuru wambana kiongozi aliyedaiwa kukwapua mamilioni ya Vicoba

January 30, 2025 Admin

Rombo. Taasisi Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, imefanikiwa kurejesha zaidi ya Sh13.7 milioni za kikundi cha benki za jamii (Vicoba) cha

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 8 9 10 … 205 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.