
STANBIC BANK TANZANIA YATOA WITO WA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA NISHATI NA USHIRIKIANO WA KIKANDA KATIKA MKUTANO WA EA-ECS 2025
Stanbic Bank Tanzania inasisitiza dhamira yake ya kuimarisha uwekezaji katika sekta ya nishati na kuwezesha kifedha miundombinu muhimu wakati wa Mkutano wa 5 wa Ushirikiano wa Nishati Afrika Mashariki (EA-ECS) 2025 unaofanyika jijini Arusha. · Mkutano huu ni jukwaa muhimu la kuhamasisha ushirikiano wa kikanda na kuimarisha mifumo ya nishati kwa lengo la kupanua…