WORLD VISION TANZANIA YAGAWA MICHE YA MATUNDA NA MBEGU ZA MBOGAMBOGA KWA SHULE ZA MSINGI SHINYANGA

Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga, Wakili Julius Mtatiro (mwenye tisheti nyekundu kushoto) , maafisa kutoka World Vision Tanzania, maafisa wa kilimo na elimu wa wilaya, pamoja na wataalamu wa kata za Pandagichiza, Iselamagazi na Itwangi wakiwa wameshikilia pakti za mbegu za mbogamboga Na Mwandishi Wetu – Shinyanga Shirika la World Vision Tanzania, kupitia mradi wake…

Read More

Dorothy ajitosa kupambana na Samia

Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu ametangaza nia ya kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu, akitaja mambo manne yaliyomsukuma kuitaka nafasi hiyo. Iwapo atapitishwa na chama chake kuwania nafasi hiyo, atakuwa mgombea wa mwingine mwanamke katika uchaguzi wa mwaka huu. Anatarajiwa kuchuana na Rais Samia…

Read More

Watakiwa kutumia mfumo wa EPROZ kudhibiti mapato

Unguja. Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usafiri Baharini (ZMA), wametakiwa kusimamia manunuzi kwa mfumo wa mtandao kwa lengo la kuboresha ufanisi wa kazi na kuondoa makosa upotevu wa mapato.  Hayo yamesemwa leo Januari 16,2025 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Mtumwa Said Sandali wakati akifungua mafunzo kwa bodi ya manunuzi wa ZMA mjini Unguja. Amesema, watendaji…

Read More

Watatu kortini kwa tuhuma za uzembe, uzururaji Dar

Dar es Salaam. Wakazi watatu wa jijini hapa, wamefikishwa katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu shitaka la uzembe na uzururaji. Washtakiwa hao ni Juma Khamisi (20), Abubakari Gidamanonga (32) na Kaiza Tibangayuka (38). Washtakiwa hao wamefikishwa Mahakamani hapo leo Alhamisi Januari 16, 2025 na kusomewa shitaka lao na karani Aurelia Bahati, mbele ya Hakimu Gladness…

Read More