Wezi wavamia waiba kichanga | Mwananchi

Kibaha. Watu ambao hawajafahamika wamevamia nyumbani kwa mkazi wa Kibaha kwa Mfipa Mkoa wa Pwani Melkisedeck Sostenes na kupora gari, pesa na vitu mbalimbali kisha kuwatumbukiza wamiliki wa nyumba kwenye chemba za vyoo. Watu hao wanaodaiwa kutekeleza tukio hilo saa 12 asubuhi pia wanadaiwa kuondoka na mtoto mchanga mwenye umri wa miezi saba ambaye ni…

Read More

Waliovamia hifadhi ya Iluma kuondoka kwa hiari

Ulanga. Mkuu wa wilaya ya Ulanga, Dk Julius Ningu amesema hatua ya  kuwaondoa wananchi waliovamia eneo la hifadhi ya jamii ya Iluma iliyopo kijiji cha Mbuyuni kata ya Minepa wilayani humo limefanikiwa kwa kiasi kikubwa bila ya kutumia nguvu kubwa ya vyombo vya dola. Akizungumza na Mwananchi, Dk Ningu amesema kabla ya kutoa agizo la…

Read More

Jinsi Mianya Iliyofichwa Huchochea Ufisadi na Kutokuwa na Usawa – Masuala ya Ulimwenguni

Transparency International ilifichua matokeo ya kutisha mnamo Desemba 2024 kuhusu utoroshaji wa fedha za umma barani Afrika. Mkopo: Shutterstock na Baher Kamal (madrid) Alhamisi, Januari 16, 2025 Inter Press Service MADRID, Jan 16 (IPS) – Sio siri tena kwamba katika mikutano mikuu ya kimataifa kuna washawishi zaidi kuliko wajumbe rasmi. Huko, wanashiriki kama 'wageni,' na…

Read More

Uru Shimbwe walia ubovu wa barabara

Moshi. Wananchi wa Kata ya Uru Shimbwe, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, wamelalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara ya Mamboleo – Shimbwe, hali ambayo imekuwa ikiwapa changamoto kubwa ya usafiri na usafirishaji wa bidhaa mbalimbali kwenda masokoni kipindi cha mvua. Wananchi hao wanaojishughulisha na kilimo cha ndizi, viazi pamoja na matunda kama  pasheni, parachichi na…

Read More

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAWAZAWADIA WASHINDI WA KAMPENI YA TWENDE KIDIGITAL TUKUVUSHE JANUARI

Na Mwandishi wetu-Dar es salaam Akiba Commercial Bank imewashukuru wateja wake kwa kushiriki katika kampeni “twende kidigital tukuvushe Januari” na imewahimiza kuendelea kutumia huduma zake za kidijitali kama vile ACB Mobile, Internet Banking, ACB VISA Card, na ACB Wakala ili kufurahia uzoefu wa kipekee wa kibenki. Shukrani hizo zimetolewa Jijini Dar es salaam Januari,2025 Mkuu…

Read More

Lissu ataka Bawacha kupigania mageuzi

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tanzania Bara, Tundu Lissu amelitaka Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) kupigania mabadiliko ili kupata uwakilishi wa wanawake kwa usawa kwenye vyombo uamuzi. Amesisitiza Chadema inahitaji viongozi wa kupigania mabadiliko na wanaojua bila mabadiliko hayo idadi ya wanawake bungeni haitoongezeka. Lissu ametoa kauli hiyo leo Januari 16, 2025 Dar…

Read More

Wajumbe Bawacha waanza kulipwa posho

Dar es Salaam. Hatimaye wajumbe wa mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha), wameanza kulipwa posho zao walizokuwa wakishinikiza kulipwa kabla ya kuanza mkutano huo asubuhi. Mapema asubuhi  leo Alhamisi Januari 16, 2025 wajumbe hao walipaza sauti wakitaka kulipwa posho zao ikiwemo nauli kulingana na mikoa wanayotoka. Asubuhi muda…

Read More

Maelekezo ya Mbowe kwa Bawacha, Bavicha na Bazecha

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amewataka viongozi wapya wa mabaraza na watakaochaguliwa kuhakikisha chama hicho, kinajibu changamoto za kijamii na wananchi, siyo masuala yanayohusu siasa pekee. Mbowe anayewania nafasi ya uenyekiti kwa mara nyingine baada ya kukiongoza chama hicho kwa miaka 21,  amesema kuna programu ya Chadema Family ambayo haijafanikiwa kwa sababu…

Read More

Sunzu, maveterani kuchangia madogo wenye saratani

WACHEZAJI wa zamani wa klabu mbalimbali jijini Mwanza wameandaa tamasha la michezo ya kirafiki katika mchezo wa soka na netiboli, ili kuchangisha fedha za kusaidia mahitaji mbalimbali ya watoto wenye saratani wanaotibiwa na kuishi katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando. Tamasha hilo ambalo limeandaliwa na klabu ya Mwanza Veterani inayojumuisha wachezaji mbalimbali akiwamo mshambuliaji…

Read More