
PWANI WAITWA KUBORESHA TAARIFA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe. Jahi (Rufaa) Mbarouk S. Mbarouk. Chifu wa Mkoa wa Pwani Salim Mashimb Na Khadija Kalili Michuzi TV MAKAMU Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Mhe.Jaji (Rufaa) Mbarouk S. Mbarouk amesema wananchi wanatakiwa kujitokeza kuboresha taarifa zao kwenye daftari la mpigakura ndani ya siku…