Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: February 6, 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • 6
Habari

MCHENGEWA ANG’AKA NA WAKANDARASI WASIOMALIZA KAZI NDANI YA MUDA WA MKATABA.

February 6, 2025 Admin

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Mohammed Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wote wa Majiji hasa

Read More
Habari

KUMBILAMOTO AWATAKA WAKANDARASI KUKAMILISHA MIRADI KWA WAKATI

February 6, 2025 Admin

   Na Humphrey Shao, Michuzi Tv Wito umetolewa kwa wakandarasi kukamilisha kazi kwa wakati hili kutoa taswira ya hali ya fedha zinazotolewa na Rais wa

Read More
Michezo

Ahmed Ally ampa Chasambi ujumbe mzito

February 6, 2025 Admin

Meneja habari na mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally amemtaka winga Ladack Chasambi asivurugwe na bao alilojifunga kwenye mchezo dhidi ya Fountain Gate, leo Februari 6,

Read More
Michezo

Sillah aipa Azam FC pointi tatu, Kally akaribishwa kwa kichapo

February 6, 2025 Admin

MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam, Azam FC wameibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa

Read More
Habari

Aunganishwa na kaka yake kesi ya kughushi wosia

February 6, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam, Nargis Omar(70) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka mawili ya kughushi wasio

Read More
Michezo

Wataalamu wafunguka ishu ya kadi Fountain gate vs Simba

February 6, 2025 Admin

KOCHA Fadlu Davids ameshindwa kuifikia rekodi ya Patrick Aussems ya kushinda mechi 11 mfululizo za Ligi Kuu baada ya jioni ya jana kulazimishwa sare ya

Read More
Habari

Jinsi siku 1000 zinavyomsaidia mtoto kumkinga na maradhi 13

February 6, 2025 Admin

Unguja. Iwapo wazazi watazingatia malezi kwa siku 1000 za kwanza zitasaidia kumkinga mtoto na maradhi 13 ikiwamo kupunguza vifo vya mama na mtoto kisiwani Zanzibar.

Read More
Habari

Dk Mpango awataka vijana kuwatunza, kuwathamini wazazi

February 6, 2025 Admin

Rombo. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amewataka vijana nchini waliobahatika kuwa na wazazi walio hai kujenga utamaduni wa kuwatunza, kuwalea na kuwaonyesha upendo. Amesema

Read More
Habari

WATAFITI WASHAURIWA KUCHAPISHA MATOKEO YA TAFITI KWA KISWAHILI ILI KUFIKIA JAMII

February 6, 2025 Admin

Farida Mangube, Morogoro  Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Bw. Mussa Ali Mussa, amewataka watafiti kuchapisha tafiti zao kwa Kiswahili ili kuhakikisha matokeo ya utafiti

Read More
Habari

Mawaziri washambulia hoja za kamati

February 6, 2025 Admin

Dodoma. Mawaziri wameshambulia kujibu hoja za wabunge, huku Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo akitaja mikakati ya kutatua changamoto ya ajali

Read More

Posts pagination

1 2 … 10 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.