
MCHENGEWA ANG’AKA NA WAKANDARASI WASIOMALIZA KAZI NDANI YA MUDA WA MKATABA.
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe Mohammed Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wote wa Majiji hasa Jiji la Dodoma ambako ndio makao makuu ya Nchi kujipanga vizuri katika kuwapokea watu wanaoingia na kutoka katika Majiji hasa katika eneo la Stesheni ya Reli kwa Jiji la Dodoma…