
EU Laonya Vikwazo Vya Marekani Dhidi Ya ICC – Global Publishers
Mkuu wa Baraza la Ulaya, Antonio Costa Baraza la Umoja wa Ulaya (EU) limeonya kuhusu matokeo ya hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) yenye makao yake The Haugue nchini Uholanzi. Taarifa ya baraza hilo imeeleza kuwa, uamuzi wa Marekani wa kuiwekea vikwazo Mahakama ya ICC kutokana…