Madawati ya jinsia polisi yatakiwa kuongeza uadilifu

Unguja. Kamisheni ya Zanzibar, Naibu Kamishna wa Polisi, Simon Chillery amewataka maofisa wa madawati ya jinsia na watoto (PGDs) kuongeza nguvu na uadilifu katika kushughulikia kesi za udhalilishaji na ukatili dhidi ya watoto ili kuhakikisha kesi hizo zinafika haraka mahakamani. Amesema ingawa matukio ya unyanyasaji yanaonekana kupungua kwa asilimia 12.8, bado inahitajika juhudi kubwa za…

Read More

Majaliwa aagiza kukamilishwa kwa sheria ya anwani za makazi

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ikamilishe sheria ya anwani za makazi ili kuweka utaratibu wa kisheria utakaowalinda wananchi katika kutumia mfumo huu. Amesema sheria hiyo itasaidia kuweka masharti ya kimsingi kwa matumizi ya anwani za makazi, ikiwa ni pamoja na kupokea huduma na kuhakikisha kuwa matokeo ya…

Read More

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AMTEMBELEA MWALIMU ALIYANI LEO 8-2-2025

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya msahafu na Mwanazuoni Maarufu Zanzibar Sheikh.Ali Hemed Jabir (Mwalimu Aliyani) ambae ni Imamu Mkuu wa Msikiti wa Mchangani, Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 8-2-2025,baada ya kumaliza mazungumzo alipofika  nyumbani kwake mtaa wa mchangani kwa ajili ya…

Read More

WASIRA APIGA MARUFUKU VYAMA VYA UPINZANI KUWATUMIA VIJANA MKOA WA MARA KUFANYA VURUGU MIKOA MINGINE

  Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani Mara kama nguvu kazi ya kufanya vurugu katika maeneo mbalimbali. Amesema CCM inamipango mizuri kuhakikisha vijana hao wanatumia nguvu zao kujiletea maendeleo ya kiuchumi na kujikwamua dhidi ya umasikini. Wasira…

Read More