Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: February 9, 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • 9
Habari

Wasira ataka vijana kutotumika Kisiasa akikitaja Chadema, Heche amjibu

February 9, 2025 Admin

Tarime. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen  Wasira amewataka vijana wilayani Tarime  Mkoa wa Mara kuacha kutumika kisiasa kwa lengo la kusababisha fujo

Read More
Habari

Wasira ataka vijana kutotumika Kisiasa akikitaja Chadema, Hecha amjibu

February 9, 2025 Admin

amewataka vijana wilayani Tarime  Mkoa wa Mara kuacha kutumika kisiasa kwa lengo la kusababisha fujo na machafuko ndani ya wilaya hiyo. Akizindua ofisi ya CCM

Read More
Habari

Madawati ya jinsia polisi yatakiwa kuongeza uadilifu

February 9, 2025 Admin

Unguja. Kamisheni ya Zanzibar, Naibu Kamishna wa Polisi, Simon Chillery amewataka maofisa wa madawati ya jinsia na watoto (PGDs) kuongeza nguvu na uadilifu katika kushughulikia

Read More
Habari

AA YANG’ARA KWENYE MASHINDANO YA CYBER CHAMPIONS YA MWAKA 2025.

February 9, 2025 Admin

  Chuo cha Uhasibu Arusha kimeibuka kidedea na kung’ara katika mashindano ya Cyber Champions ya mwaka 2025 Mashindano hayo yameweza kushirikisha Taasisi za Elimu ya

Read More
Habari

Majaliwa aagiza kukamilishwa kwa sheria ya anwani za makazi

February 9, 2025 Admin

Dodoma. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari ikamilishe sheria ya anwani za makazi ili kuweka utaratibu wa kisheria utakaowalinda

Read More
Habari

RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN MWINYI AMTEMBELEA MWALIMU ALIYANI LEO 8-2-2025

February 9, 2025 Admin

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya msahafu na Mwanazuoni Maarufu Zanzibar Sheikh.Ali Hemed Jabir

Read More
Habari

WASIRA APIGA MARUFUKU VYAMA VYA UPINZANI KUWATUMIA VIJANA MKOA WA MARA KUFANYA VURUGU MIKOA MINGINE

February 9, 2025 Admin

  Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema ni marufuku kwa vyama upinzani kuwatumia vijana kutoka mkoani

Read More
Habari

Mtukufu Aga Khan IV azikwa kwenye kaburi la babu yake kwa muda

February 9, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mwili wa Mtukufu Aga Khan IV umezikwa leo, Februari 9, 2025, katika mazishi ya faragha yaliyofanyika katika mji wa Aswan, nchini Misri.

Read More
Habari

KAMATI YA BUNGE TAMISEMI YARIDHISHWA NA UTEKLEZAJI WA MIRADI KIBAHA MJI

February 9, 2025 Admin

Kamati ya kudumu ya bunge ya Tamisemi imesema kwamba  imeridhishwa kwa kiasi kikubwa  na  miradi ya maendeleo katika sekta ya afya na elimu  ambayo imetekelezwa

Read More
Habari

Tanzania Kushirikiana na Burkina Faso matibabu ya moyo

February 9, 2025 Admin

08/02/2025 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kushirikiana na nchi ya Burkina Faso kuwajengea ujuzi wa ubingwa bobezi wa matibabu ya moyo wataalamu wa afya

Read More

Posts pagination

1 2 … 8 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.