WASIRA AMJULIA HALI GACHUMA KATIKA HOSPITALI YA BUGANDO

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amemjulia hali Mjumbe wa Halmashauri Kuu yaTaifa (NEC), Ndugu Christopher Gachuma ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda, Bugando jijini Mwanza. Ndugu Gachuma amelazwa hospitalini hapo baada ya kupata ajali ya gari jana katika Kijiji cha Gesarya, Kata ya Lung’abure, wilayani Serengeti Mkoa…

Read More

DC KILWA AKEMEA BIASHARA ZA MAGENDO

Mkuu wa Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi Mohamed Nyundo amewaasa wafanyabiashara na wananchi wa Kilwa kuacha kujihusisha na biashara za magendo kwani zina athari mbaya kwa jamii na uchumi wa nchi. Nyundo ameyasema hayo leo Februari 10, 2025 wakati alipotembelewa na Timu ya Maafisa kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) waliofika ofisini kwake kwa lengo…

Read More

MFUMO WA NeST WADAIWA KUWA CHANGAMOTO KWA WAZABUNI

Na. Samson Samson, Njombe Kutokana na serikali kutumia mfumo wa NeST katika kuomba Zabuni za miradi mbalimbali, imeelezwa kuwa mfumo huo umekuwa ni changamoto kupata wazabuni kwa wakati sambamba na kutokuwa na ukomo wa muda wa ukamilishaji mradi. Akisoma taarifa ya mradi wa shule mpya ya sekondari Chief Dastan Masasi iliyopo katika kata ya Masasi,mbele…

Read More

DC Serengeti, mjumbe CCM walivyonusurika kifo ajalini

Musoma. Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa anayewakilisha mkoa wa Mara, Christopher Gachuma pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Serengeti, Kemirembe Lwota wamepata ajali ya gari jana Februari 9, 2025 wakiwa njiani kwenda kumpokea Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen Wasira. Akizungumza leo Jumatatu Februari 10, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa…

Read More

Bodi ya mikopo yatoa Sh8.2 trilioni

Dodoma. Jumla ya Sh8.2 trilioni zimeshatolewa mkopo kwa zaidi ya wanufaika 830,000 wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu. Takwimu hizo zimetolewa jijini Dodoma leo Jumatatu Februari 10, 2025 na Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Carolyne Ndombo wakati akifungua Maadhimisho ya miaka 20 ya Bodi ya Mikopo ya…

Read More

Kada aliyempinga Rais Samia aliwa kichwa

Moshi. Licha ya Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuridhia kwa kishindo, kumpitisha Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa chama hicho kwa nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu, kuna makada wameonekana kutoridhika na uamuzi huo wa kidemokrasia. Zipo taarifa kuwa baadhi ya makada wa CCM waliokuwa wakijipanga kuwania…

Read More

Ukandamizaji wa kikatili wa Belarusi unaendelea uchaguzi wa rais – maswala ya ulimwengu

Flashback hadi 2020 maandamano dhidi ya uchaguzi ulio ngumu. Mikopo: Andrew Keymaster/Unsplash Na Ed Holt Jumatatu, Februari 10, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Februari 10 (IPS) – Katika miezi inayoongoza kwa uchaguzi wa rais mwishoni mwa Januari, kiongozi wa mamlaka ya Belarusi Alexander Lukashenko aliamuru kuachiliwa kwa mamia ya wafungwa wa kisiasa. Wachunguzi wengine…

Read More