Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: February 12, 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • 12
Habari

MAWAKALA WA MILKI NCHINI WATAKIWA KUJISAJILI

February 12, 2025 Admin

  Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Mawakala wa Milki nchini wametakiwa kujisajili katika mfumo wa Wizara ya Ardhi ili kuingia kwenye mfumo rasmi utakaowezesha kutambulika.

Read More
Habari

NCHIMBI AFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA NCHI NNE

February 12, 2025 Admin

  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal, ambaye alifika

Read More
Kimataifa

'Tunajua majibu' ya kusaidia wanawake katika STEM – maswala ya ulimwengu

February 12, 2025 Admin

“Licha ya maendeleo, Wanawake bado hufanya theluthi moja tu ya jamii ya kisayansi ya ulimwengu na kukabiliana na vizuizi muhimu katika ufadhili, kuchapisha na majukumu

Read More
Habari

Gharama kubwa za saratani zawapeleka wagonjwa kwa ‘Sangoma’, wamuangukia Rais

February 12, 2025 Admin

Mbeya. Wagonjwa wa saratani wamesema kutokana na gharama kubwa matibabu husabaisha kukatisha tamaa, huku wengine kuamua kukimbilia kwenye maombi na kwa waganga wa kienyeji wakiomba

Read More
Habari

Heche ashusha zigo kwa Watanzania kuamua hatima ya matatizo yanayowakabili

February 12, 2025 Admin

Tarime. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) – Bara, John Heche amesema hatima ya kuondoa matatizo yanayowakabili Watanzania iko mikononi mwao wenyewe.

Read More
Habari

Mambo manne yanayoweza kusaidia kupunguza migogoro ya ardhi Tanzania

February 12, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wadau wa masuala ya ardhi nchini Tanzania wamependekeza mambo manne ambayo yanaweza kutumika katika kupunguza migogoro ya ardhi nchini. Yaliyopendekezwa ni utoaji

Read More
Habari

WAKURUGENZI WA UFUATILIAJI NA TATHMINI NGAZI YA WIZARA WAKUTANA KUPITIA TAARIFA YA UTENDAJI WA SERIKALI

February 12, 2025 Admin

Na Mwandishi wetu – Iringa. Wakurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini ngazi ya wizara wamekutana leo tarehe 12 Februari 2025 katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa

Read More
Habari

Polisi wadai wezi wa n’gombe Geita ni wafungwa waliomaliza vifungo

February 12, 2025 Admin

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita limesema vitendo vya wizi wa ng’ombe vilivyoshamiri kwa sasa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Geita vimetokana na wezi

Read More
Habari

Adaiwa kujiua kisa kuambiwa mtoto aliyekuwa akimtunza siyo wake

February 12, 2025 Admin

Njombe. Kijana Justin Mbaga (28) mkazi wa Mtaa wa Kisingile katika Halmashauri ya Mji wa Makambako wilayani Njombe amefariki dunia, kwa kudaiwa kunywa sumu baada

Read More
Habari

SAFARI ZA IRINGA ZAREJEA, TWIGA MILES KUTUMIKA KUKATA TIKETI

February 12, 2025 Admin

  Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) inayo furaha kutangaza kurejesha safari za moja kwa moja kati ya Dar es Salaam na Iringa kuanzia Jumamosi, 22

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.