Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Mawakala wa Milki nchini wametakiwa kujisajili katika mfumo wa Wizara ya Ardhi ili kuingia kwenye mfumo rasmi utakaowezesha kutambulika.
Day: February 12, 2025

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza na Balozi wa Algeria nchini Tanzania, Mhe. Ahmed Djellal, ambaye alifika

“Licha ya maendeleo, Wanawake bado hufanya theluthi moja tu ya jamii ya kisayansi ya ulimwengu na kukabiliana na vizuizi muhimu katika ufadhili, kuchapisha na majukumu

Mbeya. Wagonjwa wa saratani wamesema kutokana na gharama kubwa matibabu husabaisha kukatisha tamaa, huku wengine kuamua kukimbilia kwenye maombi na kwa waganga wa kienyeji wakiomba

Tarime. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) – Bara, John Heche amesema hatima ya kuondoa matatizo yanayowakabili Watanzania iko mikononi mwao wenyewe.

Dar es Salaam. Wadau wa masuala ya ardhi nchini Tanzania wamependekeza mambo manne ambayo yanaweza kutumika katika kupunguza migogoro ya ardhi nchini. Yaliyopendekezwa ni utoaji

Na Mwandishi wetu – Iringa. Wakurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini ngazi ya wizara wamekutana leo tarehe 12 Februari 2025 katika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa

Geita. Jeshi la Polisi mkoani Geita limesema vitendo vya wizi wa ng’ombe vilivyoshamiri kwa sasa katika maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Geita vimetokana na wezi

Njombe. Kijana Justin Mbaga (28) mkazi wa Mtaa wa Kisingile katika Halmashauri ya Mji wa Makambako wilayani Njombe amefariki dunia, kwa kudaiwa kunywa sumu baada

Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) inayo furaha kutangaza kurejesha safari za moja kwa moja kati ya Dar es Salaam na Iringa kuanzia Jumamosi, 22