Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: February 14, 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • 14
Kimataifa

Maelfu ya kurudi nyumbani, lakini wakimbizi wengi bado wanahofia – maswala ya ulimwengu

February 14, 2025 Admin

Maendeleo yanakuja kama uchunguzi wa hivi karibuni wa wakimbizi wa Syria katika mkoa huo unaonyesha kwamba Asilimia 75 ya waliohojiwa hawana mipango ya kurudi wakati

Read More
Habari

Rais Dkt. Samia ashiriki Mkutano wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AUPSC) Addis Ababa nchini Ethiopia

February 14, 2025 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AUPSC)

Read More
Habari

RC Dendego aipongeza TRA Singida kupata Hati safi miezi saba mfululizo

February 14, 2025 Admin

MKUU wa Mkoa wa Singida, Halima Dendego ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Singida kwa kupata hati safi “Clean Sheet” ya kukusanya zaidi

Read More
Habari

DC NACHINGWEA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUACHA KUUZA BIDHAA KWA BEI YA RISITI NA ISIYO NA RISITI

February 14, 2025 Admin

 MKUU wa Wilaya ya Nachingwea mkoani Lindi Mhe. Mohamed Moyo amewataka wafanyabiashara kuacha tabia ya kupanga bei mbili moja ya risiti na nyingine ya bila

Read More
Habari

BUNGE LAPITISHA NYONGEZA YA BAJETI YA SH. BILIONI 945.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025

February 14, 2025 Admin

  Na. Josephine Majura, WF – Dodoma   Bunge limepitisha nyongeza ya mapato na matumizi ya jumla ya shilingi bilioni 945.7 kwa ajili ya kuongeza

Read More
Michezo

Aziz KI ampa zawadi Hamisa, athibitisha ndoa kesho

February 14, 2025 Admin

Dakika chache baada ya kiungo wa Yanga, Stephanie Aziz KI kutupia kambani chuma tatu, furaha yake imemfanya kufichua juu ya ndoa yake na mwanamitindo Hamisa

Read More
Habari

EU yamwaga Sh17.8 bilioni kuimarisha demokrasia, utawala wa sheria nchini

February 14, 2025 Admin

Dar es Salaam. Jumuiya ya Ulaya (EU) imetoa ufadhili wa zaidi ya Sh17. 8 bilioni kwa asasi za kiraia 11 nchini Tanzania, kwa lengo la

Read More
Habari

Wadau washauri Afrika kutumia sera za Trump kama fursa

February 14, 2025 Admin

Arusha. Nchi za Afrika zimeshauriwa kutumia mabadiliko ya sera za kibiashara za Marekani kama fursa ya kipekee ya kukuza uchumi wake. Rai hiyo imetolewa leo

Read More
Habari

Ajali ya lori ilivyoua wanne, kuharibu pikipiki 11

February 14, 2025 Admin

Dar es Salaam. Watu wanne wamefariki dunia, watatu wakijeruhiwa, huku pikipiki 11 zikiharibiwa baada ya lori kuacha njia na kuwaparamia kwenye kituo eneo la Stop

Read More
Michezo

Aziz KI ampa zawadi Hamisa, athibisha ndoa kesho

February 14, 2025 Admin

Dakika chache baada ya kiungo wa Yanga, Stephanie Aziz KI kutupia kambani chuma tatu, furaha yake imemfanya kufichua juu ya ndoa yake na mwanamitindo Hamisa

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.