Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: February 15, 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • 15
Habari

Buidhaa hizi zapaisha mfumuko wa bei Zanzibar

February 15, 2025 Admin

Unguja. Mfumko wa bei kwa Januari 2025  Zanzibar umeongezeka na kufikia asilimia 5.27 kutoka asilimia 4.9 iliyorekodiwa Desemba 2024, huku bidhaa za mchele na ndizi

Read More
Habari

Jinsi Raila alivyoukosa uenyekiti Umoja wa Afrika

February 15, 2025 Admin

Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Youssouf amemshinda Raila Odinga wa Kenya kwenye kinyang’anyiro cha mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC).

Read More
Habari

Waziri Mkuu awataka wakulima wa pamba kuzalisha kwa tija

February 15, 2025 Admin

Simiyu. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahimiza wakulima wa zao la pamba kuongeza uzalishaji kwa ekari kwa kufuata kanuni bora za kilimo. Kanuni bora za kilimo

Read More
Burudani

Marufuku shughuli za kibinadamu mapango ya Amboni

February 15, 2025 Admin

Tanga. Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Japhari Kubecha amepiga marufuku shughuli zote za kibinadamu zinazofanyika katika Hifadhi ya Mapango ya Amboni, kama vile kukata miti,

Read More
Habari

Wazee wapewa mitungi ya gesi kupunguza uharibifu hifadhi Kilimanjaro

February 15, 2025 Admin

Moshi. Wazee wasiojiweza zaidi ya 60 wanaoishi Kijiji cha Msae Kinyambuo, pembezoni mwa msitu wa Hifadhi ya Taifa Kilimanjaro (Kinapa), wamepatiwa mitungi ya gesi ili

Read More
Habari

M-NEC NDELE MWASELELA ACHANGIA ZAIDI YA MILIONI 30 MBEYA VIJIJINI

February 15, 2025 Admin

 Ukiwa na cheo hautakiwi kuwa mchoyo kwa wenzako  Ni Moja ya nukuu ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC) wa Mkoa

Read More
Habari

MKURUGENZI MOSHI ATOKWA MACHOZI, CCM NA CHADEMA WAKIMPA ZAWADI .

February 15, 2025 Admin

Mkurugenzi wa Halmashauriya Manispaa ya Moshi Mwajuma NAsombe akizungumza wakati wa kikao cha mwisho cha Bajeti cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri .Mstahiki Meya wa

Read More
Michezo

Pamba hiyooo nafasi ya 10 ikiibamiza Coastal Union 2-0

February 15, 2025 Admin

Hatimaye Pamba Jiji imeingia kwenye nafasi 10 za juu katika Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal

Read More
Habari

AKIBA COMMERCIAL BANK PLC YAWAKABIDHI WASHINDI 6 WA FAINAL KAMPENI YA TWENDE KIDIGITAL

February 15, 2025 Admin

  Na Mwandishi wetu- Dar es salaam Wateja sita wa Akiba Commercial Bank Plc kutoka matawi mbalimbali wametunukiwa zawadi za fedha taslimu pamoja na zawadi

Read More
Habari

DC MPOGOLO ASEMA DAR IKO TAYARI KUPAMBANA NA MAJIJI KWA USAFI AFRIKA

February 15, 2025 Admin

  Na Humphrey Shao, Michuzi  Tv MKUU wa Wilaya ya Ilala,Edward Mpogolo  amesema wamejipanga kikamilifu kuhakikisha Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam inaingia katika

Read More

Posts pagination

1 2 … 7 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.