Buidhaa hizi zapaisha mfumuko wa bei Zanzibar

Unguja. Mfumko wa bei kwa Januari 2025  Zanzibar umeongezeka na kufikia asilimia 5.27 kutoka asilimia 4.9 iliyorekodiwa Desemba 2024, huku bidhaa za mchele na ndizi zikichangia kwa kiwango kikubwa. Bidhaa zilizosababisha kuongezeka kwa mfumuko wa bei ni pamoja na mchele wa mapembe kwa asilimia 1.5, mchele wa Mbeya asilimia 4.4, mchele wa Jasmin asilimia 0.8,…

Read More

Jinsi Raila alivyoukosa uenyekiti Umoja wa Afrika

Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Youssouf amemshinda Raila Odinga wa Kenya kwenye kinyang’anyiro cha mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC). Mchuano huo uliokwenda hadi mzunguko wa saba Youssouf ameshinda kwa kupata kura 33, baada ya Raila kuondoa jina lake. Raila alilazimika kuondoa jina lake kwenye mzunguko wa sita, wakati huo…

Read More

Waziri Mkuu awataka wakulima wa pamba kuzalisha kwa tija

Simiyu. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahimiza wakulima wa zao la pamba kuongeza uzalishaji kwa ekari kwa kufuata kanuni bora za kilimo. Kanuni bora za kilimo cha zao hilo ni uchaguzi wa mbegu bora, maandalizi ya shamba, upandaji wenye kufuata vipimo, palizi kwa wakati, udhibiti wa wadudu na magonjwa pamoja na kuvuna kwa wakati muafaka.   Akizungumza…

Read More

Marufuku shughuli za kibinadamu mapango ya Amboni

Tanga. Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Japhari Kubecha amepiga marufuku shughuli zote za kibinadamu zinazofanyika katika Hifadhi ya Mapango ya Amboni, kama vile kukata miti, kuchimba mchanga, kwani kufanya hivyo kunaweza kuharibu uhalisia wa eneo hilo. Akizungumza na wananchi waliojitokeza kwenye hafla ya kutangaza vivutio vya utalii kwa Mkoa wa Tanga iliyofanyika katika mapango hayo…

Read More