Wakimbizi wa Afghanistan, miongoni mwa wengine, wanahisi athari za kufungia ufadhili wa USAID – maswala ya ulimwengu

na Ashfaq Yusufzai (Peshawar, Pakistan) Jumapili, Februari 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari PESHAWAR, Pakistan, Februari 16 (IPS) – “Nilishtuka nilipoambiwa na mlinzi kwamba kliniki imefungwa. Mimi, pamoja na jamaa zangu, nilikuwa nikitembelea kliniki kwa ukaguzi wa bure, “Jamila Begum, 22, mwanamke wa Afghanistan, aliiambia IPS. Kliniki imeanzishwa na NGO na msaada wa kifedha…

Read More

Mambo haya yametawala ngwe ya lala salama bungeni

Dodoma. Wakati muhula wa Bunge la 12 ukielekea ukingoni, mkutano wa 18 uliomalizika Februari 14, mwaka huu jijini hapa, umekuwa na mvutano mkali kwa Serikali, huku ikikabiliwa na maswali ya wabunge kuhusu utendaji wake, ikiwamo hatua dhidi ya ufisadi. Baadhi ya wabunge wamehoji kuhusu utekelezaji wa ahadi walizotoa kwa wananchi na uwezekano wa wao kurejea…

Read More

Mambo haya yametawala ngwe ya salama bungeni

Dodoma. Wakati muhula wa Bunge la 12 ukielekea ukingoni, mkutano wa 18 uliomalizika Februari 14, mwaka huu jijini hapa, umekuwa na mvutano mkali kwa Serikali, huku ikikabiliwa na maswali ya wabunge kuhusu utendaji wake, ikiwamo hatua dhidi ya ufisadi. Baadhi ya wabunge wamehoji kuhusu utekelezaji wa ahadi walizotoa kwa wananchi na uwezekano wa wao kurejea…

Read More

ATE YATOA MSAADA WA MASHINE ZA KUSAIDIA KUPUMUA WATOTO WACHANGA

Mashine hizo, zenye thamani ya shilingi milioni 23, zimetolewa kwa njia ya michango binafsi ya wahitimu wa kozi ya “Mwanamke Kiongozi” awamu ya kumi, inayoendeshwa na ATE. Wahitimu hao, waliotoka taasisi mbalimbali ambazo ni wanachama wa ATE, walichangia fedha za kununua mashine hizo ili kusaidia hospitali zinazokabiliana na changamoto. Msaada huo ulitolewa katika Hospitali ya…

Read More

Familia ya Lissu yawahoji wabaya wake, yampa msimamo

Dar es Salaam. Familia ya Tundu Lissu imewataka wabaya wake kumsikiliza kwa umakini hoja anazopigania za uhuru wa kweli Tanzania. Licha ya familia hiyo kusema inamuunga mkono katika harakati zake, imesisitiza itakuwa ya kwanza kumkosoa na kumrudi pale atakaporudi nyuma kwenye kupigania haki kwa kutekwa na ‘machawa.’ Hayo yamesemwa leo Jumapili, Februari 16, 2025, katika…

Read More

NCAA: TUTAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU MAPANGO YA AMBONI

Na Oscar Assenga, TANGA. MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kwamba inaendelea na mikakati ya kuboresha miundombinu ya Mapango ya Amboni yaliyopo Jijini Tanga ili yaendelee kuwavutia watalii wengi zaidi. Hayo yalibainishwa February 14 mwaka huu na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi anayesimamia Huduma za Utalii na Masoko NCAA Mariam Kobelo wakati wa kampeni…

Read More