NJIRO; WANANCHI SIO LAZIMA KUFANYA WIRING NYUMBA NZIMA MNAWEZA KUFANYA CHUMBA KIMOJA KWAAJILI YAKUPOKELEA UMEME

 NA BELINDA JOSEPH, SONGEA Wakazi wa Kata ya Subira Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma, wametakiwa kuunganisha nyaya za umeme angalau chumba kimoja kwenye Nyumba ili kuwawezesha kupata huduma hiyo mapema badala ya kusubiri REA watakapoukabidhi mradi huo kwa TANESCO jambo ambalo litasababisha gharama yakuunganisha umeme kupanda kutoka Ile ya mradi wa REA shilingi elfu 27….

Read More

TAMASHA LA KUMBUKUMBU YA VITA VYA MAJIMAJI KUFANYIKA RUVUMA, WANANCHI KUELIMISHWA KUHUSU HISTORIA NA UTAMADUNI

 NA BELINDA JOSEPH, RUVUMA. Tamasha la Kumbukizi ya Vita vya Majimaji linatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 23 hadi 27 Februari 2025, na litahusisha shughuli mbalimbali za kiutamaduni na kihistoria zinazolenga kuenzi mashujaa waliopigana vita hivyo,  Tamasha hilo litafanyika mkoani Ruvuma, ambapo wananchi watapata fursa ya kujifunza kuhusu historia ya vita vya Majimaji na umuhimu wa utamaduni…

Read More

CCM Haitavumilia Wanaokiuka Kanuni – Global Publishers

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ameonya vikali wanachama wanaotafuta uteuzi wa udiwani, uwakilishi na ubunge kwa njia zisizo halali, akisisitiza kuwa chama hakitasita kuwaengua wale watakaokiuka Katiba, Kanuni na maadili ya CCM kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2025. Akizungumza jijini Dodoma wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa makatibu wa…

Read More

Zelesky amjibu Trump madai ya kuichokoza Urusi

Kyiv. Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskiy leo Jumatano amejibu madai ya Donald Trump kwamba Ukraine ndiyo iliyosababisha uvamizi kamili wa Urusi wa 2022, akisema Rais wa Marekani alikwama katika upotoshaji wa habari kutoka Russia. Akizungumza kabla ya mazungumzo na mjumbe wa Trump kwa ajili ya Ukraine, siku moja baada ya Trump kusema kwamba Ukraine “haikupaswa…

Read More

Hofu yatanda M23 wakisonga mbele

Milio ya risasi ilisikika katika mji wa mpakani wa Uvira, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Jumatano, vyanzo vya ndani vilisema, huku mapigano yakizuka kati ya vikosi vya washirika katikati ya kusonga mbele kwa waasi wanaoungwa mkono na Rwanda. Wakazi na maofisa wameeleza hali ya uporaji, miili ikiwa mitaani na wanajeshi wa serikali…

Read More

Faida mbili malori kutumia matairi makubwa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiwaita watu wenye ubunifu unaoweza kuongeza thamani katika sekta ya usafirishaji, imevitaka vyuo kufanya tafiti ili kujua faida za matumizi ya matairi makubwa (super single tire) katika malori. Agizo hilo limetolewa kufuatia kuwapo kwa taarifa matumizi ya tairi hizo yanasaidia katika kupunguza matumizi ya mafuta na kulinda barabara. Hayo yamesemwa…

Read More

Mvua ilivyofunga maduka Njombe | Mwananchi

Njombe. Ikiwa imepita siku moja, Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) kutangaza kuwepo kwa Mvua katika Mikoa 15 ukiwemo Mkoa wa Njombe, Hali hiyo imejitokeza kuanzia majira ya saa 8.00 mchana na kudumu kwa zaidi ya masaa mawili. Mvua hiyo ambayo iliambatana na upepo mkali na ngurumo za radi kiasi cha kufanya baadhi ya maduka…

Read More