-Atakagua na Kuzindua Miradi ya Maendeleo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu -Mhe. Ridhiwani Kikwete leo Februari
Day: February 23, 2025

Na Oscar Assenga, HANDENI. RAIS Dkt Samia Suluhu amemuagiza Waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengerwa kuhakikisha wanapeleka kiasi cha Milioni 240 kwa ajili ya kujenga eneo

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Dk. Hussein Mohamed leo tarehe 23 Februari 2025 ameafanya ziara Mkoani Mtwara iliyolenga kutembelea eneo linalotarajiwa kujengwa viwanda

Wananchi wa Mkoa wa Mwanza wameipongeza Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kuendelea kusogeza huduma za Kisheria karibu zaidi na wananchi kupitia Kliniki ya

WANARIADHA wa Kitanzania wamenga’ra katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro mwaka huu wa 2025 ambapo Hamis Misai am3ishinda nafasi ya kwanza mbio za kilomita 42.2

Na Mwandishi wetu. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yusuf Masauni amesema Serikali inatambua na kuthamini mchango

Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imepandisha ada za vyeti vya afya ya mazao kwa zaidi ya asilimia 460, jambo linaloleta

Arusha. Serikali imetangaza mpango wa kupiga marufuku uingizaji wa vifaa vya kielektroniki kutoka nje ya nchi ili kuhamasisha uzalishaji wa ndani na kuvutia wawekezaji katika

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amejitosa kuzungumzia sakata la barua ya malalamiko kuhusu uteuzi alioufanya wa viongozi

Kahama. Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linawashikilia sungusungu wawili kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mkazi wa Kijiji cha Mbika Wilayani Kahama, John Julius