RAIS DKT SAMIA ATOA MAELEKEZO KWA WAZIRI MCHENGERWA

Na Oscar Assenga, HANDENI. RAIS Dkt Samia Suluhu amemuagiza Waziri wa Tamisemi Mohamed Mchengerwa kuhakikisha wanapeleka kiasi cha Milioni 240 kwa ajili ya kujenga eneo maalumu la Upasuaji wa Mifupa katika Hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Handeni. Dkt Samia aliyasema hayo leo mara baada ya kufungua Hospitali ya Halmashauri ya wilaya ya Handeni eneo…

Read More

NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO ATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO MKOANI MTWARA

NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Dk. Hussein Mohamed leo tarehe 23 Februari 2025 ameafanya ziara Mkoani Mtwara iliyolenga kutembelea eneo linalotarajiwa kujengwa viwanda vya Kubangua Korosho. Uwekezaji huo ambao awamu ya kwanza inatarajiwa kugharimu zaidi ya Shilingi Bilioni 300, unatekelezwa kwenye eneo la Maranje Halmashauri ya Mji Nanyamba Wilaya ya Mtwara Mkoani humo….

Read More

Watanzania wang’ara Kilimanjaro International Marathon

WANARIADHA wa Kitanzania wamenga’ra katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro mwaka huu wa 2025 ambapo Hamis Misai am3ishinda nafasi ya kwanza mbio za kilomita 42.2 kwa muda wa saa 2:20:45, katika mbio zilizofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha ushirika Moshi (MoCU), Moshi, mkoani Kilimanjaro. Nafasi ya pili imechukuliwa na Aloyce Simbu wa Tanzania aliekimibia…

Read More

TPHPA yapandisha ada cheti cha afya ya mazao

Arusha. Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imepandisha ada za vyeti vya afya ya mazao kwa zaidi ya asilimia 460, jambo linaloleta changamoto kubwa kwa sekta ya usafirishaji wa mazao ya kilimo nchini. Muundo wa ada uliorekebishwa, ambao umesababisha ongezeko la zaidi ya mara nne kwa baadhi ya makundi ya shehena, umeibua…

Read More

Lissu atoa msimamo pingamizi la kina Mnyika, Lema

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amejitosa kuzungumzia sakata la barua ya malalamiko kuhusu uteuzi alioufanya wa viongozi watendaji wa juu na wajumbe wa kamati kuu akisema haina mashiko yoyote. Barua hiyo ni ya kada wake, Lembrus Mchome, aliyoiandika kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema na nakala kuituma…

Read More

Sungusungu wadaiwa kumvunja mwanakijiji mguu kwa kipigo

Kahama. Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga linawashikilia sungusungu wawili kwa tuhuma za kumpiga hadi kumvunja mguu mkazi wa Kijiji cha Mbika Wilayani Kahama, John Julius (34) kwa madai ya kuiba mlango wa mwajiri wake. Akizungumza na Mwananchi leo Jumapili Februari 23, 2024 kamanda wa polisi mkoani humo, Janeth Magomi amewataja wanaoshikiliwa ni Bundala Dalali na…

Read More