
Chalamila awaita vijana wasio na mitaji ofisini kwake
Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema vijana wanaotaka kufanya biashara eneo la Kariakoo wafike ofisini kwake ili kukopeshwa bidhaa za kuanzia kama mtaji. Chalamila ameyasema hayo leo Alhamisi Februari 27, 2025 katika sherehe za kilele cha uzinduzi wa ufanyaji biashara saa 24,uliofanyika jijini humo. Shughuli za ufanyaji biashara…