Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: February 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • Page 10
Burudani

Chalamila awaita vijana wasio na mitaji ofisini kwake

February 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema vijana wanaotaka kufanya biashara eneo la Kariakoo wafike ofisini kwake ili kukopeshwa

Read More
Kimataifa

Madini ya kubadili madini ya madini yanaishi Zimbabwe-Maswala ya Ulimwenguni

February 27, 2025 Admin

Wakazi wenye wasiwasi wanaangalia bwawa lililojaa mafuriko, matokeo ya madini ya machimbo karibu na Pumula North huko Bulawayo, mji wa pili wa Zimbabwe. Mikopo: Jeffrey

Read More
Habari

Abiria afa safarini kwenye ndege, wana ndoa wasimulia magumu ya kusafiri na maiti

February 27, 2025 Admin

Doha. Safari ya ndege kwa wanandoa wawili Mitchell Ring na Jennifer Colin, waliokuwa wakitokea Australia kwenda Venice, Italia imegeuka ya huzuni baada ya abiria mmoja

Read More
Habari

MONGELA AONGOZA KUAGA MIILI YA WATU WANNE WALIOPATA AJALI MBEYA

February 27, 2025 Admin

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella, leo tarehe 27 Februari 2025 ameongoza shughuli ya kuaga miili ya marehemu wanne

Read More
Habari

BoT yaweka kibano mikopo ‘kausha damu’

February 27, 2025 Admin

Mtwara. Baada ya wabunge kucharuka kuhusu mikopo ‘kausha damu’ kwenye mitandao, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekuja na mwarobaini unaozuia mkopeshaji kuingia kwenye namba za

Read More
Habari

Simulizi mtoto anayedaiwa kunyongwa Songea RPC, majirani wasimulia

February 27, 2025 Admin

Songea/Dar. Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, limethibitisha kifo cha mtoto wa mwaka mmoja na miezi miwili,  Giyan Marco Nchimbi, anayedaiwa kunyongwa katika kijiji cha

Read More
Burudani

Wasanii 10 kukiwasha usiku wa Kariakoo ya saa 24 akiwemo Harmonize

February 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wakati usiku wa leo Alhamisi, Februari 27, 2025 ni kilele cha sherehe za uzinduzi wa Kariakoo ya saa 24, wasanii zaidi ya

Read More
Habari

Samia ateua mrithi wa Mafuru

February 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Watumishi Housing Investiment (WHi), Dk Fred Msemwa kuwa Katibu Mtendaji wa Tume

Read More
Habari

Aliyeua wezi kwa kuwakata mapanga, ahukumiwa kunyongwa

February 27, 2025 Admin

Arusha. Madhara ya kuchukua Sheria mkononi. Ndicho kilichomkuta mkazi wa Mara, Rhobi Chacha, ambaye amekwaa kisiki Mahakama ya Rufani iliyobariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa

Read More
Habari

Kiharusi sasa tishio, mbinu za kukiepuka

February 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ongezeko la wagonjwa wa kiharusi nchini, limewaibua wataalamu wa afya wanaotaja mambo ya kuepuka kupata tatizo hilo, huku wenye shinikizo la juu

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 9 10 11 … 226 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.