Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema vijana wanaotaka kufanya biashara eneo la Kariakoo wafike ofisini kwake ili kukopeshwa
Month: February 2025

Wakazi wenye wasiwasi wanaangalia bwawa lililojaa mafuriko, matokeo ya madini ya machimbo karibu na Pumula North huko Bulawayo, mji wa pili wa Zimbabwe. Mikopo: Jeffrey

Doha. Safari ya ndege kwa wanandoa wawili Mitchell Ring na Jennifer Colin, waliokuwa wakitokea Australia kwenda Venice, Italia imegeuka ya huzuni baada ya abiria mmoja

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu John Mongella, leo tarehe 27 Februari 2025 ameongoza shughuli ya kuaga miili ya marehemu wanne

Mtwara. Baada ya wabunge kucharuka kuhusu mikopo ‘kausha damu’ kwenye mitandao, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imekuja na mwarobaini unaozuia mkopeshaji kuingia kwenye namba za

Songea/Dar. Jeshi la Polisi mkoa wa Ruvuma, limethibitisha kifo cha mtoto wa mwaka mmoja na miezi miwili, Giyan Marco Nchimbi, anayedaiwa kunyongwa katika kijiji cha

Dar es Salaam. Wakati usiku wa leo Alhamisi, Februari 27, 2025 ni kilele cha sherehe za uzinduzi wa Kariakoo ya saa 24, wasanii zaidi ya

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Watumishi Housing Investiment (WHi), Dk Fred Msemwa kuwa Katibu Mtendaji wa Tume

Arusha. Madhara ya kuchukua Sheria mkononi. Ndicho kilichomkuta mkazi wa Mara, Rhobi Chacha, ambaye amekwaa kisiki Mahakama ya Rufani iliyobariki adhabu ya kunyongwa hadi kufa

Dar es Salaam. Ongezeko la wagonjwa wa kiharusi nchini, limewaibua wataalamu wa afya wanaotaja mambo ya kuepuka kupata tatizo hilo, huku wenye shinikizo la juu