Mkuu wa UN anakaribisha Kuendelea kusitisha mapigano ya Gaza na kutolewa kwa mateka – maswala ya ulimwengu

Ujumbe kwa waandishi wa vyombo vya habari ulitolewa na UN Jumapili, siku moja baada ya kuachiliwa kwa mateka watatu wa Israeli kutoka Gaza, badala ya Wapalestina 369 waliofanyika katika gereza la Israeli. Kubadilishana ni sehemu ya awamu ya kwanza ya mpango wa kusitisha mapigano kati ya pande hizo mbili ambazo zilianza kutumika mnamo Januari 19….

Read More

Trump Atangaza Kukutana Na Putin – Global Publishers

Rais wa Marekani, Donald Trump Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Jumapili jioni kuwa atakutana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, katika siku za usoni. Trump anaamini kuwa Putin ana nia ya dhati ya kusitisha mapigano nchini Ukraine. Hata hivyo, hakutaja tarehe maalum ya mkutano huo. Kauli hiyo ya Trump imetolewa saa chache kabla ya…

Read More

Mapigano ya Congo yaisogeza ofa ya Ninja

NYOTA wa kimataifa wa Tanzania, Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amesema mapigano yanayoendelea Goma, DRC Congo yamesitisha mazungumzo na kati yake na klabu ya Tanganyika FC. Kwa takriban mwezi sasa katika Mji wa Goma kumekuwapo na mapigano baada ya wanajeshi wa kundi la waasi la M23 kuvamia na kuuteka mji huo na hivyo kuathiri shughuli mbalimbali za…

Read More

Fanya haya kukabili ongezeko la joto

Dar es Salaam. Wakati Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ikisema vipindi vya ongezeko la joto vinatarajiwa kuendelea kujitokeza Februari mwaka huu, wataalamu wa afya wameshauri mambo ya kuzingatia katika unywaji, uvaaji, mtindo wa maisha, na ulaji, wakisisitiza kuepuka ulaji wa vyakula vyenye mafuta. Madaktari wameshauri wananchi wanaoishi katika ukanda wa Pwani na maeneo…

Read More

Hatimaye Hersi afunguka ndoa ya Aziz Ki, Mobetto

Rais wa Yanga, Hersi Said amevunja ukimya kuhusu ndoa ya nyota wa timu hiyo, Stephane Aziz Ki na Hamisa Mobetto. Ndoa hiyo ilifungwa jana Februari 16, 2025 katika Msikiti wa Masjid Nnuur uliopo Mbweni jijini Dar es Salaam ikifuatiwa na hafla ya kibao kata iliyofanyika nyumbani kwa bibi harusi, Bahari beach. Siku moja kabla ya ndoa, Mobetto…

Read More