Serikali yamkataa hakimu kesi za ACT-Wazalendo, mwenyewe kutoa uamuzi leo

Kigoma. Serikali imemkataa hakimu anayesikiliza mashauri mawili ya uchaguzi wa serikali za mitaa yaliyofunguliwa na chama cha ACT-Wazalendo katika Mahakama ya Wilaya ya Kigoma. Kutokana na maombi hayo ya kumtaka ajiondoe kwenye mashauri hayo, hakimu huyo, Katoki Mwakitalu, atatoa uamuzi wake leo, Jumatatu, Februari 17, 2025. Katika maombi hayo, mawakili wa Serikali wamemkataa Hakimu Mwakitalu,…

Read More

Anayewania tuzo za dunia apata dili Ufaransa

MTANZANIA Jaruph Juma anayewania tuzo za mchezaji bora wa dunia kwa upande wa soka la ufukweni amesema mchezo huo umemfunguliwa fursa nyingi ikiwemo kupata timu Ufaransa. Jaruph anawania tuzo hiyo akiwa ni mchezaji pekee kwa Ukanda wa Afrika Mashariki kuwania tuzo hiyo inayowaniwa pia na mastaa kibao kutoka Brazil, Ubelgiji, Colombia na nchi nyingine. Tuzo…

Read More

Kocha wa maafande acharuka | Mwanaspoti

KOCHA wa maafande wa Polisi Tanzania, Mussa Rashid amewaonya mastaa wa timu hiyo kuacha tabia ya kudharau wapinzani wao, kwa sababu kwa kufanya hivyo inawaweka katika mazingira magumu ya kukipambania kikosi hicho kumaliza nafasi nne za juu. Akizungumza na Mwanaspoti, Mussa alisema hata mchezo waliochapwa mabao 3-1, dhidi ya Kiluvya United ulitokana na nyota wa…

Read More

Staa Kagera Sugar agomea mkataba mpya

KAGERA Sugar inaendelea kupambana kujiepusha kushuka daraja Ligi Kuu Bara, lakini katika vita hiyo, ikashtukia uwezo wa staa wa timu hiyo, Peter Lwasa wakitaka kumuongezea mkataba mpango ambao hata hivyo mabosi wa klabu hiyo wamekutaka na kikwazo kidogo. Kikosi hicho kilichocheza mechi 19 na kukusanya pointi 15 hdi sasa ikiwa nafasi ya 15 kati ya…

Read More

Minziro ashtukia jambo Ligi Kuu

PAMBA Jiji gari limewaka baada ya kushinda mechi tatu mfululizo za Ligi Kuu Bara ikiwa ni rekodi kwa timu hiyo iliyorejea katika ligi hiyo baada ya miaka 23 tangu iliposhuka mwaka 2001, lakini licha ya matokeo hayo, kocha wa timu hiyo, Fred Felix ‘Mizniro’ ameshtukia jambo na kuanza kujipanga upya. Mabingwa hao wa zamani wa…

Read More

Wanauliza, tuwapige ngapi? | Mwanaspoti

HAKUNA kulala wala kuzubaa ndivyo ilivyo katika mechi za duru la pili za Ligi Kuu Bara wakati leo tena vita itaendelea kwenye viwanja viwili tofauti, huku kazi kubwa ikiwa jijini Dar es Salaam wakati watetezi Yanga itakapovaana na Singida Black Stars, huku kila moja ikionekana kuwa moto. Mchezo mwingine wa leo utapigwa Uwanja wa Tanzanite…

Read More

Athari ya vitengo vya ushauri na nasaha kusahauliwa shuleni

Ukosefu wa vitengo madhubuti vya mwongozo na ushauri katika shule nyingi nchini, umewaacha wanafunzi wakikabiliwa na changamoto ikiwa ni pamoja na matatizo ya afya ya akili pamoja na msongo wa mawazo ya kitaaluma.  Licha ya maagizo ya Serikali yanayosisitiza umuhimu wa huduma hizi, utekelezaji wake umekuwa ukikwamishwa kutokana na uhaba wa wafanyakazi, uelewa mdogo wa…

Read More