Profesa Mosha apigilia msumari kufutwa daraja sifuri

Katika toleo la tarehe 10 Februari, 2025, gazeti la Mwananchi lilikuwa na makala iliyokuwa na kichwa cha habari: “Daraja la sifuri lifutwe.” Pendekezo hilo lilitolewa na Shirika la Uwezo Tanzania takriban wiki mbili, baada ya kutangazwa kwa matokeo ya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2024, likisema uwepo wake unawaathiri kisaikolojia vijana. Mimi nakubaliana asilimia…

Read More

Ahoua asaka rekodi mpya Ligi Kuu

Mnyama Simba kwa sasa ni kama kajipata na licha ya kuachwa pointi moja na watani zao wa jadi wanaokimbizana nao kwenye kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu, imesaliwa na mechi moja mkononi huku nyota wao pia wakiwa na rekodi zao za kipekee ikiwamo kiungo wao mshambuliaji, Jean Charles Ahoua. Ahoua aliyesajiliwa na Wekundu…

Read More

Wakimbizi wa Afghanistan, miongoni mwa wengine, wanahisi athari za kufungia ufadhili wa USAID – maswala ya ulimwengu

na Ashfaq Yusufzai (Peshawar, Pakistan) Jumapili, Februari 16, 2025 Huduma ya waandishi wa habari PESHAWAR, Pakistan, Februari 16 (IPS) – “Nilishtuka nilipoambiwa na mlinzi kwamba kliniki imefungwa. Mimi, pamoja na jamaa zangu, nilikuwa nikitembelea kliniki kwa ukaguzi wa bure, “Jamila Begum, 22, mwanamke wa Afghanistan, aliiambia IPS. Kliniki imeanzishwa na NGO na msaada wa kifedha…

Read More

Mambo haya yametawala ngwe ya lala salama bungeni

Dodoma. Wakati muhula wa Bunge la 12 ukielekea ukingoni, mkutano wa 18 uliomalizika Februari 14, mwaka huu jijini hapa, umekuwa na mvutano mkali kwa Serikali, huku ikikabiliwa na maswali ya wabunge kuhusu utendaji wake, ikiwamo hatua dhidi ya ufisadi. Baadhi ya wabunge wamehoji kuhusu utekelezaji wa ahadi walizotoa kwa wananchi na uwezekano wa wao kurejea…

Read More

Mambo haya yametawala ngwe ya salama bungeni

Dodoma. Wakati muhula wa Bunge la 12 ukielekea ukingoni, mkutano wa 18 uliomalizika Februari 14, mwaka huu jijini hapa, umekuwa na mvutano mkali kwa Serikali, huku ikikabiliwa na maswali ya wabunge kuhusu utendaji wake, ikiwamo hatua dhidi ya ufisadi. Baadhi ya wabunge wamehoji kuhusu utekelezaji wa ahadi walizotoa kwa wananchi na uwezekano wa wao kurejea…

Read More

ATE YATOA MSAADA WA MASHINE ZA KUSAIDIA KUPUMUA WATOTO WACHANGA

Mashine hizo, zenye thamani ya shilingi milioni 23, zimetolewa kwa njia ya michango binafsi ya wahitimu wa kozi ya “Mwanamke Kiongozi” awamu ya kumi, inayoendeshwa na ATE. Wahitimu hao, waliotoka taasisi mbalimbali ambazo ni wanachama wa ATE, walichangia fedha za kununua mashine hizo ili kusaidia hospitali zinazokabiliana na changamoto. Msaada huo ulitolewa katika Hospitali ya…

Read More