Familia ya Lissu yawahoji wabaya wake, yampa msimamo

Dar es Salaam. Familia ya Tundu Lissu imewataka wabaya wake kumsikiliza kwa umakini hoja anazopigania za uhuru wa kweli Tanzania. Licha ya familia hiyo kusema inamuunga mkono katika harakati zake, imesisitiza itakuwa ya kwanza kumkosoa na kumrudi pale atakaporudi nyuma kwenye kupigania haki kwa kutekwa na ‘machawa.’ Hayo yamesemwa leo Jumapili, Februari 16, 2025, katika…

Read More

NCAA: TUTAENDELEA KUBORESHA MIUNDOMBINU MAPANGO YA AMBONI

Na Oscar Assenga, TANGA. MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imesema kwamba inaendelea na mikakati ya kuboresha miundombinu ya Mapango ya Amboni yaliyopo Jijini Tanga ili yaendelee kuwavutia watalii wengi zaidi. Hayo yalibainishwa February 14 mwaka huu na Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi anayesimamia Huduma za Utalii na Masoko NCAA Mariam Kobelo wakati wa kampeni…

Read More

Msigwa: Tanzania haitaharakisha kupunguza bei ya nishati

Rufiji. Ingawa kiwango cha umeme katika gridi ya Taifa kimezidi mahitaji ya Watanzania, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Tanzania haitaharakisha suala la kupunguza bei ya nishati hiyo kwa wananchi. Msigwa amesema hayo baada ya Serikali kuongeza uzalishaji kupitia vyanzo mbalimbali likiwamo Bwawa la Umeme la Julius Nyerere (JHPP). Kwa sasa Serikali inazalisha megawati…

Read More

Nne tangu 2025 hazijashinda Ligi Kuu

USISHANGAE bwana! Ndivyo ukweli ulivyo, timu za Mashujaa, JKT Tanzania, Fountain Gate na Dodoma Jiji zilizopo ligi Kuu Bara, hazijaonja ushindi tangu mwaka 2025 ulipoingia. Kipigo cha jana kwa Mashujaa cha mabao 2-0 kutoka kwa Azam, kimeifanya timu hiyo kufikisha jumla ya dakika 720 sawa na michezo minane ya Ligi Kuu bila ya ushindi, kwani…

Read More

Dk Biteko azidi kusisitiza kudumisha amani

Dar es Salaam. Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko, ameendelea kusisitiza kuwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, usiligawe Taifa, bali kila mtu azingatie kudumisha amani. Amesema kila Mtanzania anapaswa kuendelea kuiombea nchi amani na mshikamano sambamba na kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan, aendelee kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi. Naibu Waziri…

Read More

Maajabu mawili bao la Zidane Azam

NYOTA mpya wa Azam FC, Zidane Sereri amefungua ukurasa wa mabao ndani ya kikosi hicho baada ya kutupia bao moja katika ushindi wa 2-0, dhidi ya maafande wa Mashujaa, huku kukitokea maajabu mawili wakati mshambuliaji huyo akiweka kambani. Zidane aliyesajiliwa na kikosi hicho akitokea Dodoma Jiji, aliifungia Azam bao la utangulizi dakika ya 72 katika…

Read More

Familia kijana anayedaiwa kuuawa yamwangukia IGP

Dar es Salaam. Wakati Mkuu wa Shule ya Sekondari Ipogolo, Mkoa wa Iringa alikohitimu kidato cha nne Elvis Mvano Pemba ikielezea maisha ya kijana huyo shuleni, familia yake imesema haiwezi kufungua kesi polisi mkoani Songwe kwa kuwa haina imani na jeshi hilo mkoani humo. Familia ya Elvis imekwenda mbali zaidi na kuomba Inspekta Jenerali wa…

Read More