
Aziz KI, Hamisa imeisha hiyo
KIUNGO wa Yanga, Stephanie Azizi Ki na mwanamitindo, Hamisa Mobetto hatimaye wamemaliza utata baada ya mchana wa leo kufunga ndoa na kuanza maisha rasmi ya mke na mume. Wawili hao waliibua utata baada ya kuzagaa kwa matangazo ya kuwepo kwa ndoa hiyo, kiasi kuna baadhi ya mashabiki hawakuamini kama kuna kitu kama hicho kabla ya…