Kwa mkwamo huu, mnaonaje Katiba mpya ikaandikwa na wasomi?

Ni ukweli ulio dhahiri kuwa Tanzania tuko katika mkwamo wa safari ya kuandika Katiba mpya na ukichunguza sana utabaini maslahi ya kisiasa ndio kizingiti cha mchakato huu, ndio maana nauliza, mnaonaje Katibampya ikiandikwa na wasomi? Nasema hivyo kwa sababu ukichunguza mkwamo tulio nao, kwa sehemu kubwa unatokana na wahafidhina (conservatives) ndani ya Chama cha Mapinduzi…

Read More

RSF yashambulia Kambi ya Wakimbizi Sudan

Khartoum. Kundi la wanamgambo wa Jeshi la Msaada wa Haraka (RSF) limeongeza mashambulizi katika Kambi ya Wakimbizi ya Zamzam karibu na El-Fasher, Mji Mkuu wa Darfur Kaskazini, ambayo inakabiliwa na njaa. Hatua hiyo inadaiwa kuwa sehemu ya juhudi za kundi hilo kuimarisha udhibiti wake eneo la Darfur, ambalo kihistoria limekuwa ngome yake ya kijadi. Mapigano…

Read More

Kazi iliyo mbele ya mwenyekiti mpya wa AUC

Dar es Salaam. Mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC), Mahmoud Youssouf, anakabiliwa na changamoto lukuki zinazolikabili Bara la Afrika kwa sasa, ikiwemo mapigano Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na kukatwa kwa misaada inayotolewa na Serikali ya Marekani kwa Afrika. Youssouf, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti,…

Read More

Maajabu ya nywele anazozaliwa nazo kichanga

Dar es Salaam. Katika kipindi cha ujauzito,mtoto akiwa tumboni hupitia mabadiliko mengi ya ajabu,na moja ya mabadiliko hayo ni pamoja na ‘Lanugo.  Kwa mujibu wa utafiti wa International Journal of Pediatric Research wa mwaka 2018, Lanugo ni nywele nyepesi zinazokuwa kwenye mwili wa mtoto mchanga, ambapo kazi yake kubwa ni kudhibiti joto la mwili wa…

Read More

Kahawa inavyosaidia wazee kurudisha nguvu mwilini

Unywaji wa kahawa unasaidia katika kuimarisha misuli ya mwili miongoni mwa wanaume wakongwe, wanasayansi wamebaini.  Wengi ambao wamefikia ukongwe, huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa ambao unafahamika kwa kimombo kwa jina la ‘Sarcopenia’. Ugonjwa huo hulemaza uwezo wa mwanaume kuwajibika kwa kaz za kawaida zikiwamo za nyumbani. Hii ni kwa…

Read More

Chama la Wana yashtuka, yasuka pacha ya mabao

KOCHA wa Stand United ‘Chama la Wana’, Juma Masoud amesema kwa sasa anatengeneza safu kali ya ushambuliaji katika timu hiyo itakayozungukwa na nyota, Msenda Amri Msenda na Omary Issa ‘Berbatov’, kutokana na kiwango bora wanachokionyesha. Nyota hao wawili kwa pamoja wamefunga mabao 10 kati ya 29, yaliyofungwa na timu nzima na Msenda Msenda amefunga sita…

Read More

Mtanzania aanza kuzoea mazingira Misri

MSHAMBULIAJI wa Makadi FC, Oscar Evalisto amesema ameanza kuyazoea mazingira ya soka la Misri na licha ya timu hiyo kushiriki daraja la pili, anakiri ni ligi ngumu na ngeni kwa upande wake. Evalisto alisajiliwa hivi karibuni na timu hiyo akitokea Mlandege FC ya Zanzibar kwa mkataba wa miezi sita. Akizungumza na Mwanaspoti, Evalisto alisema licha…

Read More

Ngumi taifa wanawake kambini | Mwanaspoti

MABONDIA 16 wa timu ya Taifa ya ngumi, wameingia kambini jana Jumapili tayari kwa maandalizi ya ushiriki wa mashindano ya Ubingwa wa Dunia kwa Wanawake yatakayofanyika katika Jiji la Nis, Serbia Machi 8-16 mwaka huu. Kambi ya timu hiyo iliyoanza jana saa 3 asubuhi na itakayokuwa chini ya makocha watatu, daktari mmoja na mwamuzi mmoja…

Read More