Ndinga hili tishio jipya mbio za magari

MAFANIKIO yaliyoletwa na Kampuni ya magari ya Toyota kutokana na ubora wa gari lao aina ya Toyota R5, yamewapa mzuka madereva wa mbio hizo kutaka kuendelea nayo katika mashindano yajayo. Gari hilo lililoendesha na dereva Yassin Nasser na msoma ramani wake Ally Katumba kutoka Uganda lilisababisha kumaliza wakiwa washindi na kutwaa ubingwa wa Taifa kitengo…

Read More

Mechi tano za Chippa United bila Majogoro

WAKATI Chippa United ya Afrika Kusini anayeichezea Mtanzania, Baraka Majogoro ikiwa mkiani mwa msimamo wa ligi baada ya michezo 15, nyota huyo amekosekana katika michezo mitano ya mwisho. Majogoro anabakia kuwa Mtanzania pekee kwenye ligi hiyo baada ya Abdi Banda aliyekuwa anakipiga Baroka FC kurudi Bongo na kutua Dodoma Jiji, huku Gadiel Michael akienda zake…

Read More

‘Zanzibar iongeze vivutio vya utalii’

Unguja. Wakati wageni 84,069 wakiingia Zanzibar Januari mwaka huu,  wataalamu wa uchumi na takwimu, wameshauri kuongeza vivutio ili kuepusha watalii kuishia hotelini. Pia, wamesema umefika wakati wa kuongeza nguvu ya kutangaza vivutio hivyo katika mabara ya China na Afrika ili kupata wageni wengi. Mtaalamu wa Uchumi na Takwimu kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Tawi…

Read More

Nini hatima ya Odinga baada ya mapito yaliyojaa mikosi?

Dar es Salaam. Kushindwa kwa Raila Odinga katika kinyang’anyiro cha Uenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC) kunaibua swali kubwa: nini mustakabali wa kisiasa wa mwanasiasa huyo mkongwe mwenye umri wa miaka 79? Katika uchaguzi uliofanyika Februari 15, 2025, jijini Addis Ababa, Ethiopia, Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Youssouf, alishinda kwa…

Read More

Leyla Genius Atokwa Machozi, Zari Mapito Amfanyia Surprise Valentine – Video – Global Publishers

Habari njema! Binti Leyla (23) aliyepata scholarship ya kusomea udaktari India na kukatisha masomo yake kwa ugonjwa, tayari ameanza mazoezii ya kukaa na anaendelea vizuri ambapo amesema hivi sasa hata watu wakimuona hajisikii vibaya tena kwani anaamini atapona. Furaha ya Leyla imeongezeka baada ya @zali_mapito kumfanyia surprise kwenye siku ya ‘Valentine’ Februari…

Read More

Wakulima wa mwani walalama kukosa mbegu bora

Unguja. Wakulima wa mwani kisiwani Unguja wameeleza ukosefu wa mbegu bora za uzalishaji zao hilo hivyo kurudisha nyuma jitihada zao. Wakulima hao wameeleza changamoto hiyo jana, Jumamosi Februari 15, 2025, wakati wa hafla ya kukabidhiwa vifaa vya kupandia mwani na ukaguzi wa mashamba darasa ya utafiti wa mbegu bora za mwani katika Pwani Mchangani, Mkoa…

Read More

Bibi wa miaka 113 azikwa Rombo, aacha wajukuu 54

Rombo. Mwili wa bibi kizee, Mariana Assenga(113), mkazi wa Kijiji cha Mengwe chini, wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro umezikwa huku ndugu, jamaa na marafiki wakitoa simulizi mbalimbali. Kikongwe huyo aliyezaliwa mwaka 1912 alihitimisha safari yake ya mwisho hapa duniani kwa kuzikwa jana Jumamosi, Februari 15, 2025 kijijini kwake huku akiacha vilembwe watano, vitukuu 74, wajukuu…

Read More

Mastaa hawa wape mpira tu!

WAKATI Yanga na Simba zikiendelea kupigana vikumbo nafasi mbili za juu katika msimamo wa Ligi Kuu Bara, kuna siri imejificha kwa nyota wa timu hizo, Stephane Aziz KI na Leonel Ateba. Siyo Yanga na Simba tu, lakini kila timu katika ligi hiyo inapambana kuweka mambo sawa, lakini mastaa wa vikosi 16 vinavyoshiriki hawalali usingizi mzuri…

Read More

MAHUBIRI: Hitaji muhimu ni kumpa Mungu nafasi ya kwanza

Bwana Yesu asifiwe… Wakati fulani nimewahi kufundisha somo linaloitwa “Vipaumbele vya Mwamini.” Katika somo hilo nilipewa msukumo wa kuonesha jinsi ambavyo kuna mambo yanatakiwa kupewa nafasi ya kwanza kabla ya mengine katika maisha ya mwanadamu. Watu wengi wamefanya kosa la kufanya mambo ya kwanza kuwa ya pili na ya pili kuwa ya kwanza katika maisha…

Read More