Lina Tour sasa kuanzia Moro

RAUNDI ya kwanza ya michuano ya Lina Tour kwa mwaka huu inatarajiwa  kufanyika katika viwanja vya Gymkhana, mjini Morogoro na si Arusha kama ilivyotangazwa awali. Kabla ya mabadiliko haya, raundi ya kwanza ya Lina Tour ilipangwa kuanza Februari 20 hadi 23, katika viwanja vya Arusha Gymkhana na sasa raundi ya kwanza itaanza Februari 27 hadi…

Read More

Kocha Yanga aanza jeuri, atoa ahadi ya kibabe

UNAJUA nini? Juzi, Yanga ilikuwa mzigoni dhidi ya KMC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara ambapo bwana harusi mtarajiwa, Aziz KI alitupia mabao matatu yaani hat trick katika ushindi wa vyuma 6-1 walivyoishindilia timu hiyo, lakini nyuma yake kocha wa mabingwa hao watetezi wa ligi ameanza mambo. Mechi ya juzi ilikuwa ya kwanza kwa kocha Miloud…

Read More

Fadlu awabakiza mastaa Simba Kambini

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema licha ya wachezaji kuwa katika fomu nzuri ya ushindani, lakini amegoma kuwapa mapumziko wakati mchezo wao na Dodoma Jiji ukiwa umeahirishwa kwa kuhofia kupoteza utimamu wa mwili kabla ya kuvaana na Namungo wiki ijayo. Fadlu ameyasema hayo kutokana na Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kuahirisha mchezo wa…

Read More

Watu 28 wadaiwa kushambuliwa na mamba Mvomero

Mvomero. Watu 28 wa Kijiji cha Lukenge, Kata ya Mtibwa, wilayani Mvomero wanadaiwa kufariki dunia kwa kushambuliwa na mamba katika kipindi cha miaka 25 iliyopita. Hali hiyo imezua hofu kwa wananchi wa kijiji hicho, ambao wameiomba Serikali kuchukua hatua madhubuti kukomesha mashambulizi hayo ambayo yamewaacha watoto yatima na kusababisha majeraha ya kudumu kwa waathirika. Kati…

Read More

Opah kuanza na Chama la Enekia

MSHAMBULIAJI wa FC Juarez ya Mexico, Opah Clement anatarajia kucheza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Chama la Mtanzania mwenzake, Enekia Lunyamila, Mazaltan. Hii ni mara ya kwanza kwa nyota huyo wa zamani wa Simba Queens kuitumikia timu kutoka Mexico ambayo pia anachezea mbongo mwenzie beki Julietha Singano ambaye yuko nchini humo kwa msimu wa…

Read More

Bibi kizee wa miaka 113 azikwa Rombo, aacha wajukuu 54

Rombo. Mwili wa bibi kizee, Mariana Assenga(113), mkazi wa Kijiji cha Mengwe chini, wilayani Rombo, Mkoa wa Kilimanjaro umezikwa huku ndugu, jamaa na marafiki wakitoa simulizi mbalimbali. Kikongwe huyo aliyezaliwa mwaka 1912 alihitimisha safari yake ya mwisho hapa duniani kwa kuzikwa jana Jumamosi, Februari 15, 2025 kijijini kwake huku akiacha vilembwe watano, vitukuu 74, wajukuu…

Read More

Mtoto wa Museveni atishia kuishambulia DRC

Dar es Salaam. Jenerali Muhoozi Kainerugaba, mtoto wa Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, na Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Uganda (UPDF), ametishia kushambulia na kuuteka mji wa Bunia, uliopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Katika chapisho lake kwenye mtandao wa X Februari 15, 2025, Jenerali Kainerugaba alisema: “Bunia hivi karibuni itakuwa mikononi…

Read More

Ndoa yako imejengwa kwa nguzo ngapi?

Ndoa inaweza kuwa nzuri au mbaya. Pia, ndoa inaweza kujengwa au kubomolewa. Wajenzi na wabomozi wa ndoa ni wanandoa. Ndoa, kama taasisi yoyote ina changamoto zake. Kuna kufanya makosa kwa sababu, kama binadamu yeyote, hufanya makosa. Pia, yanapofanyika makosa lazima kuwepo na suluhu na namna ya kufikia suluhu. Leo tutaongelea ulazima na umuhimu wa wanandoa…

Read More

Wanaume wanavyokufa na tai shingoni

Wanaume wamekuwa wakielemewa na matatizo ya msongo wa mawazo kutokana na changamoto za kikazi na kifamilia. Hata hivyo, imebainika kuwa wengi wao huchelea kufichua matatizo yao kwa wenzao kazini au watu wa familia zao. Hii ndiyo maana miongozo ya kiserikali inawahitaji waajiri kutekeleza mipango ya kuwasaidia wafanyakazi kukabiliana na hali zinazoweza kuwasababishia msongo wa kiakili….

Read More