Huu ndio umri sahihi kwa mtoto kuanza kuadhibiwa

Dar es Salaam. Katika mchakato wowote wa malezi, adhabu inatajwa kuwa sehemu mojawapo ya mzazi au mlezi kumfunda mtoto vile anavyotaka. Hata hivyo, changamoto inabaki ni wakati gani mtoto anapaswa kuadhibiwa, aina gani ya adhabu apewe na itolewe kwa namna ipi. Ni kutokana na changamoto hii, si taarifa ngeni kusikia watoto wadogo ambao nasaha za…

Read More

Bidhaa hizi zapaisha mfumuko wa bei Zanzibar

Unguja. Mfumko wa bei kwa Januari 2025  Zanzibar umeongezeka na kufikia asilimia 5.27 kutoka asilimia 4.9 iliyorekodiwa Desemba 2024, huku bidhaa za mchele na ndizi zikichangia kwa kiwango kikubwa. Bidhaa zilizosababisha kuongezeka kwa mfumuko wa bei ni pamoja na mchele wa mapembe kwa asilimia 1.5, mchele wa Mbeya asilimia 4.4, mchele wa Jasmin asilimia 0.8,…

Read More

AUNT BETTIE: Mke wangu ananikimbia kisa nimefulia

Ukistaajabu ya Mussa, subiri utastaajabu haya ya kwangu. Anti unaweza kuamini mwanamke niliyezaa naye watoto wawili anavyonitesa kila kukicha anataka kuondoka kwa sababu sina pesa. Siyo kwamba sikuwahi kuwa nazo, nilikuwa nina kipato kizuri tu baadaye nikapata mitihani iliyosababisha niyumbe kiuchumi, jambo ambalo mwenzangu ameligeuza fimbo ananichapia. Nimejitahidi kila mbinu kumrai asiondoke anang’ang’ania, kibaya zaidi…

Read More

Waathirika USAID wasimulia machungu uamuzi wa Trump

Dar es Salaam. Wakati watumishi wa afya waliokuwa chini ya miradi ya USAID wakisimamishwa kazi bila malipo, baadhi wameelezea hali ngumu ya maisha wanayopitia, huku wadau wakiitaka Serikali kuchukua hatua kunusuru ujuzi, kufanya tathmini ya athari na kuzikabili kisayansi. Sintofahamu hiyo imekuja baada ya Januari 20, 2025 Rais wa Marekani Donald Trump kusitisha kwa siku…

Read More

Sudan, 'machafuko yanayoharibu zaidi ya kibinadamu na uhamishaji ulimwenguni' – maswala ya ulimwengu

1) Vita: 2023 Khartoum Mapigano ya Herald Mwisho wa Mchakato wa Amani Mwisho wa 2022, kulikuwa na matumaini kwamba mchakato wa amani ambao haujarudishwa hatimaye utasababisha utawala wa raia huko Sudani, baada ya kipindi kigumu ambacho kiliona kuanguka kwa dikteta wa muda mrefu Omar al-Bashir katika mapinduzi ya kijeshi, ikifuatiwa na Kukandamiza kwa ukali kwa…

Read More

Buidhaa hizi zapaisha mfumuko wa bei Zanzibar

Unguja. Mfumko wa bei kwa Januari 2025  Zanzibar umeongezeka na kufikia asilimia 5.27 kutoka asilimia 4.9 iliyorekodiwa Desemba 2024, huku bidhaa za mchele na ndizi zikichangia kwa kiwango kikubwa. Bidhaa zilizosababisha kuongezeka kwa mfumuko wa bei ni pamoja na mchele wa mapembe kwa asilimia 1.5, mchele wa Mbeya asilimia 4.4, mchele wa Jasmin asilimia 0.8,…

Read More

Jinsi Raila alivyoukosa uenyekiti Umoja wa Afrika

Waziri wa Mambo ya Nje wa Djibouti, Mahmoud Youssouf amemshinda Raila Odinga wa Kenya kwenye kinyang’anyiro cha mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AUC). Mchuano huo uliokwenda hadi mzunguko wa saba Youssouf ameshinda kwa kupata kura 33, baada ya Raila kuondoa jina lake. Raila alilazimika kuondoa jina lake kwenye mzunguko wa sita, wakati huo…

Read More

Waziri Mkuu awataka wakulima wa pamba kuzalisha kwa tija

Simiyu. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewahimiza wakulima wa zao la pamba kuongeza uzalishaji kwa ekari kwa kufuata kanuni bora za kilimo. Kanuni bora za kilimo cha zao hilo ni uchaguzi wa mbegu bora, maandalizi ya shamba, upandaji wenye kufuata vipimo, palizi kwa wakati, udhibiti wa wadudu na magonjwa pamoja na kuvuna kwa wakati muafaka.   Akizungumza…

Read More