Marufuku shughuli za kibinadamu mapango ya Amboni

Tanga. Mkuu wa Wilaya ya Tanga, Japhari Kubecha amepiga marufuku shughuli zote za kibinadamu zinazofanyika katika Hifadhi ya Mapango ya Amboni, kama vile kukata miti, kuchimba mchanga, kwani kufanya hivyo kunaweza kuharibu uhalisia wa eneo hilo. Akizungumza na wananchi waliojitokeza kwenye hafla ya kutangaza vivutio vya utalii kwa Mkoa wa Tanga iliyofanyika katika mapango hayo…

Read More

Lissu: Nimejiandaa kushinikiza mabadiliko | Mwananchi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amesema haofii kifo katika mapambano ya kudai haki kwenye mfumo wa uchaguzi ili kuondokana na changamoto mbalimbali, ikiwemo wagombea wa upinzani kuenguliwa pasipo sababu za msingi. Kwa kauli yake Lissu amesema: “Kama ni kufa kwani kuna atakayeishi milele hapa, kuna ambaye hatakufa hapa? Mimi nipo tayari kufa,…

Read More