
ACT Wazalendo yatoa neno uendeshaji bandari ya Malindi
Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuvunja mkataba na mwekezaji anayeendesha Bandari ya Malindi na kurudisha shughuli za uendeshaji wa bandari kwa Shirika la Bandari Zanzibar (ZPC). Chama hicho kimedai mwekezaji huyo aliyekuwepo imeshindwa kuweka ufanisi wa bandari hali inayosababisha usumbufu kwa watumiaji, imezorotesha biashara na kuongeza gharama za maisha kwa wananchi wa Zanzibar inayotokana…