Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: February 2025

  • Home
  • 2025
  • February
  • Page 11
Habari

ACT Wazalendo yatoa neno uendeshaji bandari ya Malindi

February 27, 2025 Admin

Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuvunja mkataba na mwekezaji anayeendesha Bandari ya Malindi na kurudisha shughuli za uendeshaji wa bandari kwa Shirika la Bandari

Read More
Habari

Wataalamu wa lishe wataka baraza la kitaaluma

February 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Wataalamu wa lishe nchini Tanzania wamesema licha ya umuhimu wao katika jamii, bado hawatambuliki rasmi kama sehemu ya kada ya afya, jambo

Read More
Habari

Tanzania yaja na sera mpya ya uchumi wa buluu

February 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Ili kuhakikisha sekta ya uchumi wa buluu inagusa maisha ya watu kwa vitendo, Serikali imeanzisha sera mpya ya uchumi wa buluu nchini

Read More
Habari

Mbezi Juu Yafurahia Ujio wa Meridianbet – Global Publishers

February 27, 2025 Admin

Kurejesha kwa jamii haitakiwa mpaka uwe na utajiri mkubwa sana, bali ni moyo tuu basi hivyo ndivyo Meridianbet hufanya mara nyingi. Na leo hii ilikuwa

Read More
Habari

Mtoto mwenye ulemavu ashambuliwa na panya watatu hadi kufa

February 27, 2025 Admin

Morogoro. Mtoto mwenye ulemavu wa akili na viungo, Christian Ngalika (Dotto) mwenye umri wa miaka 12 amefariki dunia baada ya kushambuliwa na panya watatu sehemu

Read More
Kimataifa

Ni wakati wa kufanya malipo makubwa ya tumbaku – maswala ya ulimwengu

February 27, 2025 Admin

Mikopo: Sekretarieti ya Mkutano wa Mfumo wa WHO juu ya Udhibiti wa Tumbaku (WHO FCTC) Maoni Na Deborah SY, Reina Roa Rodriguez (Manila, Ufilipino /

Read More
Habari

Nyaya chini ya bahari kuimarisha matumizi ya kidigitali Zanzibar

February 27, 2025 Admin

Unguja, Zanzibar. Vodacom Tanzania PLC imetiliana saini makubaliano ya kimkakati na Shirika la Miundombinu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA), ili kuboresha huduma

Read More
Habari

Milioni 400 za bodaboda Arusha bado kizungumkuti

February 27, 2025 Admin

Arusha. Sakata la ‘upigaji’ wa Sh400 milioni zinazodaiwa kuchotwa kwenye akaunti ya Umoja wa Bodaboda Mkoa wa Arusha (Uboma), limeingia sura mpya baada ya viongozi

Read More
Habari

Vuguvugu la wasio na ajira lawashtua, wadau waonya

February 27, 2025 Admin

Dar es Salaam. Siku nne baada ya kukamatwa kwa viongozi wa Umoja cha Walimu Wasiokuwa na ajira Tanzania (Neto) kwa kile kilichoelezwa umoja huo haujasajiliwa,

Read More
Burudani

Serikali yaanika mkakati kupunguza bei ya gesi

February 27, 2025 Admin

Muheza. Huenda kilio cha bei ya gesi nchini kikapata suluhu baada ya Serikali kuweka wazi mikakati yake ya kuhakikisha inawapunguzia wananchi gharama ya nishati hiyo.

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 10 11 12 … 226 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.