Unguja. Chama cha ACT-Wazalendo kimeitaka Serikali kuvunja mkataba na mwekezaji anayeendesha Bandari ya Malindi na kurudisha shughuli za uendeshaji wa bandari kwa Shirika la Bandari
Month: February 2025

Dar es Salaam. Wataalamu wa lishe nchini Tanzania wamesema licha ya umuhimu wao katika jamii, bado hawatambuliki rasmi kama sehemu ya kada ya afya, jambo

Dar es Salaam. Ili kuhakikisha sekta ya uchumi wa buluu inagusa maisha ya watu kwa vitendo, Serikali imeanzisha sera mpya ya uchumi wa buluu nchini

Kurejesha kwa jamii haitakiwa mpaka uwe na utajiri mkubwa sana, bali ni moyo tuu basi hivyo ndivyo Meridianbet hufanya mara nyingi. Na leo hii ilikuwa

Morogoro. Mtoto mwenye ulemavu wa akili na viungo, Christian Ngalika (Dotto) mwenye umri wa miaka 12 amefariki dunia baada ya kushambuliwa na panya watatu sehemu

Mikopo: Sekretarieti ya Mkutano wa Mfumo wa WHO juu ya Udhibiti wa Tumbaku (WHO FCTC) Maoni Na Deborah SY, Reina Roa Rodriguez (Manila, Ufilipino /

Unguja, Zanzibar. Vodacom Tanzania PLC imetiliana saini makubaliano ya kimkakati na Shirika la Miundombinu ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Zanzibar (ZICTIA), ili kuboresha huduma

Arusha. Sakata la ‘upigaji’ wa Sh400 milioni zinazodaiwa kuchotwa kwenye akaunti ya Umoja wa Bodaboda Mkoa wa Arusha (Uboma), limeingia sura mpya baada ya viongozi

Dar es Salaam. Siku nne baada ya kukamatwa kwa viongozi wa Umoja cha Walimu Wasiokuwa na ajira Tanzania (Neto) kwa kile kilichoelezwa umoja huo haujasajiliwa,

Muheza. Huenda kilio cha bei ya gesi nchini kikapata suluhu baada ya Serikali kuweka wazi mikakati yake ya kuhakikisha inawapunguzia wananchi gharama ya nishati hiyo.