
ALIYESAIDIWA NA “MSLAC” WAKITAKA KUMUOZESHA KUHITIMU KIDATO CHA SITA MWAKA HUU
NA BELINDA JOSEPH, SONGEA Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid , imefanikiwa kutatua migogoro mbalimbali tangu kutekelezwa kwake katika mikoa 17 nchini, ambapo imemnusuru binti alietaka kuozeshwa na wazazi wake Mara baada ya kuhitimu kidato cha nne na kupata ufaulu wa daraja la kwanza, imeelezwa kuwa binti huyo anatarajiwa kuhitimu kidato…