Mambo matatu ubabe wa Simba, Yanga KMC Complex

Msimu uliopita, Simba na Yanga zilitumia Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam kwa mechi zao za nyumbani za Ligi Kuu baada ya Uwanja wa Benjamin Mkapa kufungiwa. Hata hivyo msimu huu, timu hizo mbili kwa nyakati tofauti ziliamua kuukimbia Uwanja wa Azam Complex na kutimkia Uwanja wa KMC Complex uliopo Mwenge, Dar…

Read More

Wawili kortini wakidaiwa kusafirisha dawa za kulevya kilo 62

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wawili, Quizbat Shirima (38) na Linda Massawe (28) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 62.298. Watuhumiwa hao wote ni wakazi wa Dar es Salaam, Shirima (Kibada-Kigamboni) na Massawe (Kimara Bucha-Ubungo),  wamefikishwa mahakamani hapo…

Read More

Hamas yawaachilia mateka watatu wa Israel, Wapalestina 369 kunufaika

Gaza. Kundi la Hamas limewaachilia huru mateka watatu wa Israel waliokuwa wakishikiliwa katika eneo la Gaza, huku Israel ikitarajiwa kuwaachia Wapalestina 369 waliokuwa wakitumikia vifungo. Utaratibu wa kuachia mateka ni sehemu ya utekelezaji wa makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyofanyika kuanzia Januari 2025 kati ya Hamas na Jeshi la Israel (IDF). Mateka waliokombolewa ni Sagui Dekel-Chen…

Read More

WALIMU WA TABORA WACHANGAMKIA KLINIKI YA SAMIA

Rais wa Chama cha Walimu wa Tanzania (CWT) Mwalimu Leah Ulaya akizungumza kuhusiana na Kliniki ya Samia ya kutatua changamoto za Walimu,Mjini Tabora. Mkuu wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha akizungumza wakati akifungua Kliniki ya Samia ya kutatua changamoto za Walimu iliyofanyika Ukumbi wa Isike Tabora. Walimu wakiwa katika Kliniki ya kutatua changamoto yao iliyoratibiwa…

Read More

RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA MSUMBIJI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Francisco Chapo kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Umoja wa Afrika (AU) uliofanyika kwenye ukumbi wa Nelson Mandela uliopo Makao Makuu ya Umoja huo…

Read More