MERIDIANSPORTS WAMETISHA TENA JANGWANI. – MICHUZI BLOG

KAMPUNI bingwa ya kuchapisha makala ya michezo Mtandaoni Meridiansports imefanikiwa kutoa na kurudisha kwenye jamiii kwa mara nyingine ambapo leo wamefika kwenye Shule ya Sekondari Jangwani na kutoa msaada kuendeleza desturi yao ya miaka mingi. Huu umekua utaratibu wa Meridiansports miaka na miaka kuhakikisha wanawapatia kile kidogo wanachopata pamoja na jamii yao. Zoezi hili ni…

Read More

Rais Samia ashiriki Mkutano wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AUPSC) Addis Ababa nchini Ethiopia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika (AUPSC) pamoja na viongozi kutoka nchi mbalimbali katika Makao Makuu wa Umoja wa Afrika (AU) Addis Ababa nchini Ethiopia tarehe 14 Februari, 2025. @font-face {font-family:”Cambria Math”; panose-1:2 4 5 3 5…

Read More

BILIONI 18 KUJENGA SOKO LA KISASA KIHESA -IRINGA

NA DENIS MLOWE IRINGA ZAIDI ya bilioni 18 zimetengwa kupitia mradi wa Uboreshaji Miji (TACTIC) kwa ajili ya ujenzi wa soko la kisasa katika kata ya Kihesa na ujenzi wa barabara ya Mkimbizi Mtwivila kwa kiwango cha Lami kupitia bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026. Hayo yamezungumzwa na Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya…

Read More

Leo ndio leo uchaguzi AUC Addis Ababa

Addis. Leo ndio siku iliyokuwa ikisubiriwa ya kumpata mwenyekiti mpya wa Tume ya Umoja wa Afrika (AUC) kwa ajili ya kumrithi Mousa Faki, raia wa Chad, mwenyekiti anayemaliza muda wake. Mgombea anayepewa nafasi kubwa ya kushinda ni Raila Amolo Odinga (79), kiongozi wa upinzani nchini Kenya an ayeungwa mkono nan chi za Jumuiya ya Afrika…

Read More

Vita mpya ya Stumai, Jentrix Ligi ya Wanawake

VITA ya ufungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) inazidi kupamba moto kati ya mastaa wawili, Stumai Abdallah ((JKT Queens) na Jentrix Shikangwa (Simba Queens) huku mbio zao zikikolezwa na takwimu bora kati yao. Wachezaji hao wameendelea kukabana koo kwenye ufungaji wa mabao kila mmoja akikitaka kiatu cha kufumania nyavu kwenye ligi hiyo msimu…

Read More

‘Ukweli mchungu’! Cheki Simba na Yanga zinavyoteseka

IPO methali ya Kiswahili isemayo “Ukweli mchungu” ikiwa na maana kwamba wakati mwingine kusema ukweli huleta maumivu, huzuni au hali ngumu kwa mtu anayekubali au anayeambiwa ukweli husika. Hata hivyo, ingawa ukweli unaweza kuumiza ni bora kuliko kudanganywa au kufichwa ukweli kwa sababu katika muda mrefu ukweli ndiyo unaoleta suluhisho la kudumu. Kunani kwani? Licha…

Read More