Wasio na wapenzi leo siku yao, wajipende

Dar es Salaam. Endapo jana Februari 14 ulikosa raha kwa sababu wengi walisherehekea siku ya wapendanao kwa kupokea zawadi, ujumbe wa mahaba au kwenda matembezi na wenza wao, wakati wewe hauna mwenza, basi leo ndiyo siku yako. Kama ambavyo jana dunia iliadhimisha siku ya wapendanao leo inaadhimishwa siku watu wasiokuwa na wenza, kwa maana nyingine…

Read More

VIDEO: Mke asimulia upande wa pili maisha ya Mkama Sharp

Dar es Salaam. “Nilimfahamu Mkama Sharp mwaka 1984 nikimuona stendi ya daladala ya Sabasaba (sasa Msimbazi A) nikiwa nasoma Chuo cha Biashara Kisutu. Pamoja na wenzangu tulipotoka shule tulikuwa tukisema huyu askari ni mkorofi.” Ndivyo anavyoanza simulizi, Arafa Hamis aliyekuwa mke wa Mkama Sharp, ambaye Desemba 11, 2024 Gazeti la Mwananchi liliandika kuhusu historia yake….

Read More

TCB yawazawadia washindi wa kampeni ‘Mahaba Kisiwani’

Benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB)imewazawadia washindi wawili safari ya kwenda Zanzibar na malazi waliofanya miamala mingi katika msimu wa wapendanao kupitia kampeni iliyoendeshwa na benki hiyo ijulikanayo kwa jina la Mahaba Kisiwani. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Adam Mihayo, Mkurugenzi wa Biashara za Wateja Wadogo…

Read More

SERIKALI ZANZIBAR YASIFU DHAMIRA YA KWELI BODI YA MIKOPO KUWAHUDUMIA WANAFUNZI KUPATA MKOPO

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar, imesema Bodi ya Mikopo ya Tanzania (HESLB) imeonyesha dhamira ya kweli kuwahudumia wanafunzi kwa kutoa mikopo kwa usawa bila ubaguzi wala upendeleo. Hayo yamesemwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Lela Muhamed Mussa kupitia hotuba yake iliyosomwa na Katibu Mkuu Wizara hiyo, Khamis Abdalla Said alipomwakilisha katika kilele…

Read More

WANANCHI WA PASUA NA MAJENGO WAFURAHIA FURSA ZA UWEKEZAJI

Na. Eva Ngowi, WF, KILIMANJARO Serikali imetoa rai kwa Wananchi kuwekeza fedha zao sehemu sahihi na salama badala ya kuwekeza fedha mahali ambapo pana vihatarishi. Rai hiyo imetolewa katika Semina ya Elimu ya Fedha iliyotolewa katika Kata za Pasua na Majengo, Wilaya ya Moshi Manispaa Mkoa wa Kilimanjaro.   Akiongea katika semina na Wajasiriamali wadogo, Vyama…

Read More