Polisi Simiyu wamnasa luteni feki wa JWTZ

Simiyu. Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu limemkamata mtu mmoja anayejifanya askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), akiwa na sare za jeshi hilo. Mtu huyo aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Mapana (24), mkazi wa Mtaa wa Sima mjini Bariadi, alikutwa na sare zinazofanana na za jeshi hilo, zikiwa na cheo cha luteni. Kwa…

Read More

'Hakuna Wakati wa Kupoteza' huko Gaza, kwani kusitisha mapigano kunapeana mabadiliko dhaifu – maswala ya ulimwengu

UN ni mbio dhidi ya wakati kupanua misaada ya kibinadamu na kujiandaa kwa kazi kubwa ya kujenga tena Gaza, kama kusitishwa kwa joto kunashikilia lakini mvutano unakua juu ya uwezekano wa mapigano. “Hakuna wakati wa kupoteza,” mkuu wa ofisi anayehusika na juhudi za ujenzi wa UN (UNOPS), Jorge Moreira da Silva, Wakati wa mkutano huko…

Read More

Serikali yaanika hatua za ukarabati wa meli Ziwa Tanganyika

Dodoma. Serikali imetaja mkakati wa ukarabati wa meli katika Ziwa Tanganyika na kuwa mwezi ujao (Machi) ujenzi wa meli ya Mv Sangara utakuwa umekamilika. Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile ametoa kauli hiyo bungeni Dodoma leo Februari 14, 2025, kuwa Serikali ilishaanza mkakati wa ukarabati wa meli zinazotoa huduma katika Ziwa Tanganyika. Kihenzile alikuwa akijibu…

Read More

Ouma alia na washambuliaji Singida

LICHA ya kupata ushindi wa kwanza katika mechi nne zilizopita za Ligi Bara na kuvunja pia rekodi ya maafande wa JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Meja Jen. Isamuhyo, bado kaimu kocha mkuu wa Singida Black Stars, David Ouma amelia na safu ya ushambuliaji akisema inawangusha. Singida ilipata ushindi huo wa bao 1-0 juzi na kuitibulia…

Read More

Mbabe wa Diarra azidi kutupia, Makambo karudi kambani

BAO la dakika za jioni lililopachikwa kwa kichwa na Harittie Makambo, limeipa pointi moja Tabora United nyumbani ilipoikaribisha KenGold kwenye Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi, Tabora. Katika mchezo huo ulioanza kwa timu hizo kuheshimiana na kucheza kwa nidhamu, bao la kwanza lilipatikana dakika ya 27 lililofungwa na Seleman Bwezi kwa mkwaju wa penalti baada ya…

Read More

Fahamu maumivu ya kichwa yanayozidi uchungu wa uzazi, risasi

Dar es Salaam. Achana na maumivu ya kujigonga kiwiko cha mguu au mkono. Uchungu wa kujifungua ulihisiwa ndiyo wenye maumivu makali ya kiwango cha juu zaidi. Hata hivyo, utafiti mpya umebaini maumivu ya kichwa yanayofahamika kama ‘Cluster headache attack’, ambayo maishani humkuta mtu mmoja kati ya 100, ndiyo yanayosababisha maumivu makali zaidi kuwahi kuhisiwa. Ni…

Read More

Hospitali ya Mount Meru kuwatibu wagonjwa majumbani

Arusha. Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, itaanza kutoa huduma ya matibabu kwa kuwafuata nyumbani wenye magonjwa ya muda mrefu, magonjwa sugu kama saratani na wenye changamoto za kiharusi. Huduma hiyo ambayo inatarajia kuanza kutolewa Oktoba mwaka huu, tayari Serikali imewekeza zaidi ya Sh300 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa. Mganga Mfawidhi…

Read More

Hospitall ya Mount Meru kuwatibu wagonjwa majumbani

Arusha. Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru, itaanza kutoa huduma ya matibabu kwa kuwafuata nyumbani wenye magonjwa ya muda mrefu, magonjwa sugu kama saratani na wenye changamoto za kiharusi. Huduma hiyo ambayo inatarajia kuanza kutolewa Oktoba mwaka huu, tayari Serikali imewekeza zaidi ya Sh300 kwa ajili ya ununuzi wa vifaa. Mganga Mfawidhi…

Read More

Lissu kuhutubia wananchi Morogoro akielekea Ikungi

Morogoro. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anatarajiwa kuzungumza na wananchi wa Manispaa ya Morogoro, leo Ijumaa Februari 14, 2025, akiwa njiani kuelekea Ikungi mkoani Singida. Lissu yuko njiani kuelekea Ikungi, Singida, atasimama katika eneo la Msamvu kuwasalimia wananchi kabla ya kuendelea na safari yake. Hii ni mara ya kwanza kwa…

Read More