Bukavu. Watu kadhaa wanahofiwa kujeruhiwa baada ya milipuko miwili kutokea wakati wa mkutano wa viongozi wa kundi la waasi la M23 katika mji wa Bukavu,
Month: February 2025

Moshi. Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, imeiagiza serikali mkoani humo kuhakikisha haki inatendeka wakati wa ugawaji wa maeneo ya

TIMU ya Taifa ‘Twiga Stars’ imevuka raundi ya pili ya michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON) mwakani, nchini Morocco baada ya

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi ya jinai na kumwachia huru Mwanasiasa mkongwe, Dk Willibrod Slaa (76), baada ya Mkurugenzi wa

Unguja. Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi amesema Serikali inaboresha mazingira na kuchukua hatua maalumu za kuondoa vikwazo na urasimu kwa kuweka miongozo na sera bora

TUWAWEKE kwenye maombi jamaa zetu wa Kagera Sugar na Tanzania Prisons maana kama bundi wa kushuka daraja anawanyemelea kwa nguvu msimu huu. Timu mbili ambazo

YANGA ni wajanja sana na kwa kijiweni kuna kauli yetu unatakiwa uwe umesoma Cuba ili uweze kuwashtukia walivyo na hesabu ndefu na mipango ya kiandamizi.

ILE mechi ya Simba na Azam, Ahmed Arajiga amefukia sana mapungufu ya marefa wenzake ambayo yamejitokeza mfululizo msimu huu. Kijiweni tulikuwa na hofu mechi ya

MSHAMBULIAJI nyota wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda hachezi mpira tu, lakini amekuwa akiwafuatilia wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini na kuwataja watatu kati yao

Mbeya. Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza ndugu, jamaa na marafiki pamoja na majeruhi katika ajali iliyotokea mkoani Mbeya. Ajali