Mambo matatu yaliyoibeba Twiga Stars WAFCON

TIMU ya Taifa ‘Twiga Stars’ imevuka raundi ya pili ya michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa wanawake (WAFCON) mwakani, nchini Morocco baada ya sare ya 1-1 dhidia ya Guinea ya Ikweta. Mchezo wa kwanza Stars ilishinda mabao 3-1 Uwanja wa Azam Complex, Chamazi kwa mabao ya Stumai Abdallah, Enekia Lunyamila na Diana Msewa…

Read More

Siku 48 za Dk Slaa mahabusu, asema atarudi Chadema

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi ya jinai na kumwachia huru Mwanasiasa mkongwe, Dk Willibrod Slaa (76), baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini Tanzania (DPP) kuieleza Mahakama hiyo hana nia ya kuendelea na mashitaka dhidi yake. Kwa sasa Dk Slaa atakuwa uraiani kuendelea na mishemishe zake za maisha, baada ya kukaa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Prisons, Kagera zinahitaji maombi

TUWAWEKE kwenye maombi jamaa zetu wa Kagera Sugar na Tanzania Prisons maana kama bundi wa kushuka daraja anawanyemelea  kwa nguvu msimu huu. Timu mbili ambazo ziliwahi kusumbua katika soka la Tanzania na kufanya timu vigogo ziugue pindi zinapokaribia kucheza nazo, leo zipo katika nafasi za hatari kwenye msimamo wa Ligi Kuu. Ni tofauti ya pointi…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Moalin silaha ya siri Yanga

YANGA ni wajanja sana na kwa kijiweni kuna kauli yetu unatakiwa uwe umesoma Cuba ili uweze kuwashtukia walivyo na hesabu ndefu na mipango ya kiandamizi. Wakati wanamchukua Abdihamid Moalin walituzuga jamaa anaenda kuwa mkurugenzi wa ufundi lakini kumbe walishatumia akili ya Cuba katika uamuzi wa kumchukua kocha huyo kutoka KMC. Kwanza ana leseni daraja A…

Read More

Musonda awataja Zuchu, Harmonize | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI nyota wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda hachezi mpira tu, lakini amekuwa akiwafuatilia wasanii wa muziki wa kizazi kipya nchini na kuwataja watatu kati yao kuwa ndio wanaomkuna na kumfanya apende kusikiliza ngoma zao pale anapokuwa amepumzika nje ya uwanja. Musonda anayemiliki mabao matatu kwa sasa katika Ligi Kuu Bara, amewataja wasanii hao ni Zuchu, …

Read More

Waliofariki ziara ya CCM waagwa, waandishi wagoma msibani

Mbeya. Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa familia zilizopoteza ndugu, jamaa na marafiki pamoja na majeruhi katika ajali iliyotokea mkoani Mbeya. Ajali hiyo ilitokea juzi Februari 25 katika eneo la Shamwengo wilayani Mbeya ikihusisha gari la Serikali na basi la Kampuni ya CRN wakati wa hitimisho ya ziara ya Mwenyekiti wa Jumuiya…

Read More