HAKUNA TRA BILA WAFANYABIASHARA – CG MWENDA

  Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema hakuna TRA bila kuwepo wafanyabaishara hivyo, TRA ina jukumu la kuhakikisha ustawi wa biashara nchini ili iendelee kuwepo na kukusanya kodi. Ameyasema hayo wakati wa kikao na wafanyabiashara mkoani Ruvuma tarehe 13/02/2025 ikiwa ni mwendelezo wa ziara zake za kuwatembelea wafanyabiashara,…

Read More

Jaji atoa amri, mastaa Singida BS wafike mahakamani

Mahakama Kuu ya Tanzania, masjala kuu ya Dodoma imeamuru kuitwa kortini wachezaji nyota watatu wa timu ya Singida Black Stars (SBS), ili kujibu madai dhidi yao katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Wakili Peter Madeleka. Amri hiyo umetolewa baada ya wachezaji hao, Emmanuel Keyekeh, raia wa Ghana, Josephat Bada (Ivory Coast) na Muhamed Camara (Guinea)…

Read More

Kuvuta kwa Amerika kunatoa mkono wa juu kwa wanyanyasaji wa haki za binadamu ulimwenguni – maswala ya ulimwengu

Baraza la Haki za Binadamu la UN katika Kikao huko Geneva. Mikopo: UN Picha/Elma Okic na Thalif Deen (Umoja wa Mataifa) Ijumaa, Februari 14, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Umoja wa Mataifa, Februari 14 (IPS) – Wakati baadhi ya “serikali za kitawala na za kukandamiza” ulimwenguni zilichaguliwa kama washiriki wa Baraza la Haki za…

Read More

TRA YAWAPIGA MSASA VIONGOZI WA NGOs SINGIDA SHERIA ZA KODI

VIONGOZI na wadau mbali mbali wa NGO’s wamepata elimu ya kodi hususani kuhusu sheria za kodi zinazohusu uendeshaji mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs). Semina hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa maelelekezo ya Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) CPA Yusuph Juma Mwenda aliyoyatoa wakati wa kikao chake na wafanyabiashara wa mkoa wa Singida…

Read More

ELIMU YA FEDHA, MKOMBOZI WA KIUCHUMI KIJIJI CHA KIHURIO SAME

Na Chedaiwe Msuya, WF, Same Wananchi wa Kata ya Kihurio, wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuhakikisha wanatumia huduma za Taasisi za Fedha zilizosajiliwa na kupata Leseni kutoka Benki Kuu ya Tanzania na zinazozingatia Sheria, Kanuni, na Taratibu zinazotumika ili kuepuka huduma za fedha kutoka kwa watoa huduma wasio sajiliwa. Rai hiyo ilitolewa na Mwenyekiti wa…

Read More

Baraza la Vijana Zanzibar lakutana na Masheha

Katibu Mtendaji wa Baraza la Vijana Zanzibar Ali Haji Hassan amewataka Masheha kuwa na mashirikiano katika kuhakikisha wanayaimarisha mabaraza ya Vijana katika Shehia Wanazoziongoza. Akizungumza na Masheha kutoka Shehia za Wilaya ya Mjini na Wilaya ya Magharibi B, amesema Masheha wana Jukumu la Kuhakikisha kuwa Vijana wanajiunga na Baraza la Vijana Zanzibar na kufanya hivyo…

Read More