Mambo yanayomsubiri kamishna mpya ZRA

Unguja.  Wakati Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), Said Kiondo Athumani akikabidhiwa mikoba rasmi kuendesha taasisi hiyo, mambo kadhaa yanamsubiri ikiwamo kuzungumza na wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari. Pia, anapaswa kuweka mikakati kuhakikisha wafanyabiashara wanatoa risiti za kielektroniki kwa kuwa,  wengi wanatajwa kukwepa jukumu hilo kwa kisingizo cha mashine kukosa mtandao. Kiondo anachukua…

Read More

Vuguvugu la mabadiliko: Chadema kuanza ziara kusini

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, John Heche amesema kuanzia mwezi ujao chama hicho kitaanza ziara ya mikoa ya kusini ili kuunganisha nguvu za Watanzania katika kudai haki kwenye mfumo wa uchaguzi. Heche ambaye ni mbunge wa zamani wa Tarime Vijijini mkoani Mara amesema katika ziara hiyo, viongozi…

Read More

Vuguvugu la mabadiliko Chadema lawagawa wadau

Dar es Salaam. Licha ya mapokezi chanya ya wadau wa demokrasia kuhusu vuguvugu la mabadiliko lililotangazwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa upande mwingine wameonyesha wasiwasi wa kufanikiwa kwa hoja hiyo katika muda mfupi uliobaki kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba. Wapo wanaoona, miezi iliyosalia kuelekea inatosha kufanya mabadiliko yoyote ya kisheria, kisera…

Read More