Wachekelea wingi vituo uboreshaji Daftari la Kudumu la Mpiga Kura

Tanga. Baadhi ya wananchi wa Mkoa wa Tanga waliojitokeza kuboresha taarifa zao kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura wamepongeza zoezi hilo, hasa kutokana na uwepo wa vituo vingi vya kujiandikisha, hali ambayo imewasaidia kutumia muda mchache kukamilisha mchakato huo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi katika vituo mbalimbali vilivyoanza uandikishaji leo Alhamisi, Februari 13,…

Read More

Askofu Maswi asisitiza haki, amani uchaguzi mkuu 2025

Tarime. Askofu wa Kanisa la EAGT Kanda ya Ziwa, Joseph Maswi amewataka viongozi wa Serikali na wote wenye dhamana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu ujao ili kulinda amani na utulivu wa nchi. Akizungumza leo Alhamisi Februari 13, 2025, wakati wa mahubiri yake kwenye hafla ya mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), John Heche,…

Read More

Tuhalalishe utamaduni wa urais CCM kukata mzizi wa fitina

Ni kweli uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan na Dk Hussein Mwinyi kupeperusha bendera ya CCM uchaguzi mkuu 2025 umeleta maneno ya chini kwa chini, lakini nadhani njia pekee ni kuhalalisha hicho kinachoitwa utamaduni. Ikiwa mwanachama hajaisoma vyema Katiba ya CCM na kuielewa na akauishi utamaduni wa CCM, kichwa kinaweza kumuuma na akadhani  wenye chao…

Read More

Zimamoto yatangaza ajira mpya, omba hapa

Dar es Salaam. Vijana waliohitimu kidato cha nne na shahada wanatarajiwa kunufaika na ajira ngazi ya Konstebo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo leo, Alhamisi, Februari 13, 2025, imetangaza mchakato wa ajira hizo, likiainisha sifa na vigezo vinavyohitajika kujiunga na Zimamoto na Uokoaji. Hata hivyo, haijaeleza idadi ya nafasi hizo…

Read More

Kidato cha nne, shahada waitwa ajira Zimamoto

Dar es Salaam. Vijana waliohitimu kidato cha nne na shahada wanatarajiwa kunufaika na ajira ngazi ya Konstebo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji. Taarifa iliyotolewa na jeshi hilo leo, Alhamisi, Februari 13, 2025, imetangaza mchakato wa ajira hizo, likiainisha sifa na vigezo vinavyohitajika kujiunga na Zimamoto na Uokoaji. Hata hivyo, haijaeleza idadi ya nafasi hizo…

Read More