Sowah avunja rekodi ya JKT Tanzania

BAO la dakika ya 51 la mshambuliaji wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah limetosha kuvunja rekodi ya JKT Tanzania ya kutokufungwa kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo msimu huu, baada ya mwenendo mzuri wa kikosi hicho cha Maafande. Sowah amefunga bao hilo likiwa ni la pili kwake katika Ligi Kuu Bara tangu ajiunge na timu…

Read More

TMA yaeleza sababu joto kali Februari

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa kuhusu hali ya joto katika maeneo mbalimbali nchini, ikisema vipindi vya ongezeko la joto vinatarajiwa kuendelea kujitokeza Februari 2025, hususan maeneo ambayo msimu wa mvua za vuli umeisha. TMA, katika taarifa ya jana, Februari 12, 2025, imeeleza katika miezi ya hivi karibuni kumekuwa…

Read More

ACT Wazalendo kutoa tamko uchaguzi mkuu na wanawake

Dar es Salaam. Chama cha ACT Wazalendo kimepanga kuitumia siku ya wanawake duniani mwaka huu, kutoa tamko na mwelekeo wa wanawake katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani utakaofanyika Oktoba, mwaka huu. Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa wa chama hicho, Janeth Rithe ameyasema hay oleo Alhamisi, Februari 13, 2025 alipozungumza na waandishi wa…

Read More

Camara wa Simba amuibua Idd Pazi

UMAHIRI wa Moussa Camara ‘Spider’ katika milingoti mitatu ya Simba, akiwa amebakisha clean sheet moja tu kwa sasa kuifikia rekodi iliyowekwa Ligi Kuu Bara msimu uliopita kiasi cha kumpa tuzo aliyekuwa kipa wa Coastal Union, Ley Matampi, umemuibua nyota wa zamani nchini, Idd Pazi ‘Father’. Camara aliyesajiliwa na Simba msimu huu akitokea AC Horoya ya…

Read More

AJIRA MPYA MUHIMBILI WAHIMIZWA KUTOA HUDUMA BORA KWA WANANCHI

    Watumishi 91 waliopata ajira mpya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na waliohamia 11 wametakiwa kutoa huduma bora kwa wananchi wanaofika Hospitali hapo. Akizungumza leo katika ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa watumishi hao, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa MNH, Dkt. Julieth Magandi amewataka watumishi kutoa huduma bora zaidi kwa wananchi ambao hufika hospitalini hapo kwa…

Read More

Kwa nini mikataba ya uwekezaji (BITs) ipitiwe upya Tanzania?

Katika miaka kadhaa iliyopita Tanzania iliingia hasara ya mabilioni ya shilingi iliyolipa kama fidia kwa kampuni mbalimbali kutokana na kushitakiwa kwenye mahakama za usuluhisi za kimataifa kuhusu mikataba ya uwekezaji. Mfano, Oktoba 2023, mgogoro kati ya kampuni ya Winshear Gold Corp ya nchini Canada ulitamatika kwa suluhu nje ya mahakama, baada ya Tanzania kukubali kulipa…

Read More