Upelelezi kesi ya Dk Manguruwe ‘ngoma nzito’

Dar es Salaam. Serikali bado inaendelea na uchunguzi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mkurugenzi wa Kampuni ya Vanilla International Ltd, Simon Mkondya (40) maarufu kama Dk Manguruwe. Mkondya na mwenzake, Mkaguzi wa fedha wa kampuni hiyo, Rweyemamu John (59), wanakabiliwa na mashtaka 28, yakiwemo ya kuendesha biashara ya upatu na utakatishaji fedha kinyume cha…

Read More

Ngorongoro, Serengeti kivumbi na jasho AFCON 2025

TIMU za Taifa za Tanzania chini ya miaka 17, Serengeti Boys na ile ya chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes, kila moja imepangwa kundi A na mwenyeji kwenye michuano ya AFCON kwa vijana itakayofanyika baadaye mwaka huu. Serengeti Boys iliyofuzu michuano ya AFCON U17 itakayofanyika Morocco kuanzia Machi 30 hadi Aprili 19, 2025 ikishirikisha timu…

Read More

Mechi 4 za kuheshimiana Ligi Kuu

KUNA mechi nne za kuchezesha karata ngumu. Ni lkesho jioni majibu yote yatapatikana. Mjadala mkubwa zaidi ukiwa kwa Yanga na KMC pale Mwenge, Dar es Salaam. Rekodi zinaonyesha kuwa mbaya kwa KMC kwani mechi 13 walizowahi kukutana na Yanga kwenye ligi imeambulia ushindi mara moja na sare mbili. KMC watakaowakaribisha Yanga, ni mchezo mmoja kati…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Bwenzi sasa ashindwe mwenyewe

HADI sasa bao bora katika Ligi Kuu msimu huu kwa mujibu wa kura zilizopigwa hapa kijiweni ni lile la Seleman Rashind ‘Bwenzi’ alilopachika dhidi ya Yanga. Jamaa alifunga bonge la bao kwa kumtungua kipa hodari wa Yanga, Djigui Diarra akiwa katikati ya uwanja na alipiga shuti la mbali lililomshinda kipa huyo kutoka Mali na kujaa…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Fadlu, Azim wamembeba Chasambi

ULE mchezo ambao Ladack Chasambi alijifunga bao ambalo lilikuwa la kusawazisha kwa Fountain Gate dhidi ya Simba ungeweza kuwa mwanzo wa maisha magumu kwa winga huyo mwenye umri wa miaka 20. Maana tayari kulishaanza maneno maneno kutoka kwa baadhi ya mashabiki hoyahoya wakidai kuwa dogo alifanya lile tukio kwa makusudi kisa tu kuna siku alisema…

Read More