Heche alivyopokelewa kijijini kwao, matumaini ya vijana

Tarime. Maelfu ya wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pamoja na wakazi wa Tarime na maeneo jirani wamekusanyika nyumbani kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche kumpongeza kwa kuchaguliwa kushika wadhifa huo. Heche alichaguliwa Januari 21, mwaka huu akiwashinda wenzake, Matharo Gekul aliyepata kura 49 na Ezekia Wenje aliyepata…

Read More

Serikali: Matumizi ya kondomu yamepungua Tanzania

Dodoma. Serikali imesema matumizi ya kondomu wakati wa tendo la ngono nchini yamepungua kwa kiasi kikubwa, hali inayoongeza hofu ya kuongezeka kwa maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi (VVU). Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Ziada Sellah amesema hayo jijini Dodoma leo Alhamisi Februari 13, 2025 wakati wa uzinduzi wa Siku ya Kondomu Kimataifa ambayo…

Read More

Heche: Tupo tayari kwa hatua ngumu kuelekea uchaguzi mkuu

Tarime/Dar. Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche amesema chama hicho kipo tayari kutembea katika hatua ngumu inayotarajiwa kufikiwa baada ya kukamilisha utoaji elimu kuhusu msimamo wa bila mabadiliko hakutakuwa na uchaguzi. Katika kauli yake hiyo, Heche amesema kwa sasa chama hicho kinalenga kuwafikia viongozi wa dini, balozi za mataifa mbalimbali ili kuzielimisha kuhusu msimamo…

Read More

Heche alivyopokelewa Tarime, matumaini ya vijana

Tarime. Maelfu ya wanachama, wapenzi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) pamoja na wakazi wa Tarime na maeneo jirani wamekusanyika nyumbani kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche kumpongeza kwa kuchaguliwa kushika wadhifa huo. Heche alichaguliwa Januari 21, mwaka huu akiwashinda wenzake, Matharo Gekul aliyepata kura 49 na Ezekia Wenje aliyepata…

Read More

Viongozi kampuni wataja mbinu kuepuka utegemezi

Dar es Salaam. Umoja wa Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni (CEOrt-Roundtable), umesema namna pekee ya Tanzania kujiondoa katika utegemezi wa misaada ni kuishirikisha sekta binafsi katika shughuli za kiuchumi. Viongozi hao wanaowakilisha wakurugenzi wa kampuni zaidi ya 200 nchini wanakuja na hoja hiyo, katikati ya kipindi ambacho Tanzania na mataifa mengine ya Afrika yanakabiliwa na…

Read More

Bulaya aipongeza Chadema, awataja Lissu na Mbowe bungeni

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya amekipongeza Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuendesha uchaguzi wa ndani kwa uwazi na kufuata misingi ya demokrasia. Bulaya ametoa pongezi hizo leo Alhamisi Februari 13, bungeni jijini Dodoma wakati wa mjadala wa taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)…

Read More

Wasira ang’aka ataka watu wajadili hoja, wasimjadili yeye

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewasihi Watanzania kujikita katika kujadili hoja anazotoa anapotekeleza majukumu yake badala ya kuzungumzia masuala yake binafsi. Ingawa hakufafanua kwa kina aina ya habari alizorejelea, kauli yake inaonekana kuwa huo ni ujumbe unaowalenga baadhi ya watu, wakiwamo viongozi wa vyama vya upinzani, wanaohoji…

Read More

Majaliwa ataja sababu kutoanzishwa maeneo mapya ya utawala

Dodoma. Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema watakapojiridhisha na utoaji huduma, miundombinu na rasilimali watu kwenye maeneo mapya ya utawala ndipo Serikali itatoa vibali vya uanzishwaji wa maeneo mapya, pamoja na kufafanua fursa ya mikopo ya asilimia 10 kwa wanaume. Mwaka 2016 wakati wa kuhitimisha mjadala wa bajeti ya Waziri Mkuu, alitoa tamko la…

Read More