SMZ yakiri changamoto upatikanaji wa mikopo

Unguja. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi, Uchumi na Uwekezaji Zanzibar, Shariff Ali Shariff amesema Serikali inatambua changamoto ya upatikanaji wa mikopo kwa wakulima wadogowadogo kutokana na kutokuwepo kwa uhakika wa marejesho. Hivyo, ili kuhakikisha wakulima hao wanapata fursa ya mikopo yenye masharti nafuu, Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo kwa…

Read More

Viongozi wa Kiafrika walipinga kuungana dhidi ya wakandamizaji wa madini ya mpito wa nishati – maswala ya ulimwengu

Dk. Augustine Njamnshi wa ACSEA anahutubia kikundi cha mashirika ya asasi za kiraia mbele ya Mkutano wa AUC huko Addis Ababa. Mikopo: Isaya Esipisu/IPS na Isaya Esipisu (Addis Ababa) Alhamisi, Februari 27, 2025 Huduma ya waandishi wa habari ADDIS ABABA, Februari 27 (IPS) – Wanaharakati wa mabadiliko ya nishati na hali ya hewa wamewapa changamoto…

Read More

VIDEO: Alichokisema Dk Slaa baada ya kuachiwa huru

Mwanasiasa Mkongwe Tanzania, Dk Wilibrod Slaa (76) amesema anapigania kuondoka sheria zote mbovu, na ni kati ya watu wanaosimama ‘No reforms no elections’ na msimamo wake unajulikana. Dk Slaa amezungumza hayo leo Alhamisi Februari 27, 2025 baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kuieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa hana nia ya kuendelea na…

Read More

Nyota Outsiders azigonganisha nne | Mwanaspoti

BAADA ya Stein Warriors, JKT, Savio na ABC kuibuka na kuitaka saini ya nyota wa UDSM Outsiders, Tryone Edward, mwenyewe amefunguka anachoangalia ni masilahi tu, kwake kambi popote, huku nyota mwenzake Josephat Petar akimaliza mkataba wake. Timu mbalimbali zitakazoshiriki Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), zinaendelea kujiweka sawa kwa kusajili nyota wapya,…

Read More

Watuhumiwa wa mauaji  Himo, wana kesi ya kujibu

Moshi. Mkemia Mkuu wa Serikali, Leonidas Michael, ambaye alifanya uchunguzi wa vina aba (DNA) wa mabaki ya mwili wa Josephine Mngara (30),  anayedaiwa kuuawa kwa kuteketezwa kwa moto, amesema uchunguzi umebaini kwamba kuna uhusiano wa vinasaba kati ya mabaki hayo, na sampuli ya damu kutoka kwa mama aliyedai marehemu alikuwa ni mtoto wake. Mkemia mkuu…

Read More

Tatizo la afya ya akili na mauaji ya kutisha, mmoja alimtenganisha kichwa na kiwiliwili mama yake

Songea. Mahakama Kuu, imeamuru watu wawili iliyowatia hatiani kwa mauaji, akiwemo aliyemchinja mama yake na kutenganisha kichwa na kiwiliwili, kuwekwa katika taasisi ya watu wenye tatizo la afya ya akili (mental Institution) kama wakosaji wendawazimu. Hukumu hizo za kesi mbili tofauti za jinai, zimetolewa leo Alhamisi Februari 27, 2025 na Jaji Emmanuel Kawishe wa Mahakama…

Read More

Barua yawa gumzo Mchome, Chadema wavutana

Dar es Salaam. Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Lembrus Mchome ameendelea kuikalia kooni ofisi ya Katibu Mkuu wa chama hicho kwa kile anachodai kushindwa kumpatia majibu ya barua yake, huku akisema amejipa saa 48 za kutafakari na kuja na hutua nyingine. Barua hiyo aliyoiandika kwenda kwa Katibu Mkuu wa Chadema na nakala…

Read More

Mitazamo ya wawakilishi kuhusu mwelekeo wa Bajeti ya Serikali

Unguja. Siku moja baada ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kuwasilisha mwelekeo wa bajeti ya mwaka wa fedha 2025/26, Wawakilishi wameishauri iongeze wigo wa ukusanyaji wa mapato kwa kuwa hayajakusanywa inavyotakiwa. Katika bajeti hiyo, SMZ inatarajia kukusanya Sh6.8 trilioni, ikilinganishwa na Sh5.8 trilioni za mwaka wa fedha 2024/25. Jana Jumatano, Waziri wa Fedha na Mipango wa…

Read More

Mwabukusi azungumzia kifo cha Wakili Seth

Kagera. Rais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi amesema mara ya mwisho kuonekana hadharani Wakili Seth Niyikiza, ilikuwa Februari 19, 2025 hadi alipopatikana akiwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake. Wakili Seth alikutwa amefariki dunia nyumbani kwake maeneo ya Bukoba mjini, Februari 25, 2025 baada ya mteja wake kuona inzi wengi dirishani na…

Read More