Ateba afichua siri tattoo ya Simba

WAKATI Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Ahmed Ally akitamba kwamba straika wa timu hiyo, Leonel Ateba amechora tattoo ya Mnyama Simba kutokana na mahaba aliyonayo kwa klabu hiyo, nyota huyo kutoka Cameroon amevunja ukimya na kuanika maana halisi ya mchoro huo. Ateba amechora mchoro huo katika bega la kushoto, na kuzua maswali mengi kabla…

Read More

Ukosefu wa binadamu kutoka kwa mabadiliko ya hali ya hewa kwenye Vanuatu na Guam – Maswala ya Ulimwenguni

Mafuriko na mvua nzito huko Guam. Mikopo: – (barua pepe iliyolindwa) Maoni na Anselm Vogler Alhamisi, Februari 13, 2025 Huduma ya waandishi wa habari Ili kushughulikia changamoto za msingi kwa usalama wa binadamu uliowekwa na mabadiliko ya hali ya hewa, “Mazoezi ya kujitokeza ya usalama wa hali ya hewa“Lazima iwe nyeti kwa muktadha mbili. Kwanza,…

Read More

Sababu vijana kukwepa kutumia kondomu

Dar es Salaam. Wakati Serikali ya Tanzania ikihamasisha jamii kutumia kondomu, kama mojawapo ya njia za kujikinga na maradhi yakiwamo ya zinaa, imebainika vijana wengi hawana mwamko wa kutumia kinga. Kukosa elimu, kutojua umuhimu wake, uhaba wa upatikanaji na matumizi ipasavyo ni miongoni mwa changamoto zilizoonekana, kwa vijana wengi walioulizwa sababu ya wao kutotumia kinga….

Read More

JKT vs Singida BS patachimbika Mej. Jen Isamuhyo

REKODI ya JKT Tanzania kuwa timu pekee kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu ambayo haijapoteza mechi nyumbani itaendelea kudumu? Hilo ni swali wanalojiuliza wengi wakati Wanajeshi hao wa Kujenga Taifa watakapowakaribisha Singida Black Stars. Ni katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopangwa kuchezwa kuanzia saa 10 jioni leo Alhamisi kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo…

Read More

Yanga yamrudisha beki kutoka Uganda

KIKOSI cha Yanga kesho jioni kitashuka Uwanja wa KMC Complex katika mwendelezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, lakini kabla ya kipute hcihoo kupigwa inaelezwa benchio la ufundi la timu hiyo lipo mbioni kumrejesha aliyekuwa beki aliyekuwa Uganda. Inaelezwa Yanga iliyo chini ya kocha Miloud Hamdi inataka kumrejesha aliyekuwa beki wa kati wa timu…

Read More