Walimu 1500 wa Mkoa wa Singida wafikiwa na Kliniki ya Samia

Mkuu wa Mkoa wa Singida Halima Dendegu akizungumza na viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) mara baada ya kufungua Kliniki ya Samia ya kutatua changamoto za Walimu katika Kliniki iliyofanyika Singida. Walimu wakiwa katika Kliniki ya kutatua changamoto yao iliyoratibiwa na CWT kwa kushirikiana na Serikali. Baadhi ya walimu wakipata huduma katika dawati la…

Read More

Hakikisha uamuzi wako ufanane na malengo ya kifedha

Kufanya uamuzi sahihi wa kifedha ni hatua muhimu kuelekea kufanikisha malengo yako ya kifedha, iwe ni kununua nyumba, kuanzisha biashara, kuwekeza, au kujiandaa kwa uzeeni. Uamuzi huo unahitaji mpango mzuri, nidhamu na tathmini makini ya vipaumbele vyako vya kifedha. Ili uamuzi uufanyao uendane na malengo yako ya kifedha, unatakiwa kufuata hatua kadhaa, ikiwemo kutambua malengo…

Read More

Kwanini mikataba ya uwekezaji ipitiwe upya Tanzania?

Katika miaka kadhaa iliyopita Tanzania iliingia hasara ya mabilioni ya shilingi iliyolipa kama fidia kwa kampuni mbalimbali kutokana na kushitakiwa kwenye mahakama za usuluhisi za kimataifa kuhusu mikataba ya uwekezaji. Mfano, Oktoba 2023, mgogoro kati ya kampuni ya Winshear Gold Corp ya nchini Canada ulitamatika kwa suluhu nje ya mahakama, baada ya Tanzania kukubali kulipa…

Read More

Mkutano wa kahawa utagusa hivi uchumi wetu

Kahawa ni mojawapo ya bidhaa muhimu zaidi duniani, ikiwa ya nne kwa thamani ya mauzo baada ya mafuta, dhahabu na gesi asilia. Soko la kahawa lina thamani ya Dola za Marekani bilioni 500 (Karibu Sh130 trilioni), huku nchi 50 duniani zikijihusisha na uzalishaji wake. Kati ya hizo, 25 zinapatikana barani Afrika, ikiwemo Tanzania. Hata hivyo,…

Read More