Mbaroni akidaiwa kumchoma kisu mke mwenza

Unguja. Maimuna Suleiman Said (38) mkazi wa Chukwani amejeruhiwa kwa kukatwa na kisu mwilini na mke mwenza kwa madai ya wivu. Akizungumza leo Februari 12, 2025 kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa Mjini Magharibi, Richard Mchonvu amesema tukio hilo lilitokea Februari 9, 2025 saa saba mchana huko Chukwani, ambapo Khadija Ali Shaaban (34) ambaye…

Read More

Baada ya Marekani, EU nayo kupitia misaada ya nje

Dar es Salaam. Wataalamu wa Tanzania na wadau wa asasi za kiraia, wametoa mapendekezo ya njia za kudumisha ufadhili baada ya Umoja wa Ulaya (EU) na Marekani kutangaza kupitia upya misaada yao. Umoja wa Ulaya utapitia upya mpango wake wa misaada ya kigeni, wenye thamani ya mabilioni ya Euro ili kuoanisha mgawanyo wa fedha hizo…

Read More

Wafanyabiashara 35 wa Saudi Arabia kuwekeza Zanzibar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar bado ina fursa nyingi za uwekezaji, hivyo amewakaribisha wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Saudi Arabia kuja kuweleza nchini. Dk Mwinyi ameeleza hayo leo Jumatano, Februari 12, 2025 wakati akizungumzia na timu ya wawekezaji na wafanyabiashara wa nchi hiyo Ikulu Zanzibar. Amesema kipaumbele cha Serikali ni maeneo…

Read More

Mtoto mbaroni akidaiwa kumwekea sumu mama yake

Morogoro. Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limemkamata John Kandole (11), mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi Lwemba kwa tukio la kujaribu kumuua mama yake mzazi aitwaye Regina Kalinga (44) kwa kuweka sumu kwenye chakula huku chanzo kikidaiwa kuwa ni tabia ya mama yake huyo kupenda kumtuma tuma na kumnyima muda wa…

Read More

Chadema yaja na vuguvugu la mabadiliko

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kuanzisha vuguvugu la mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025. Kimesema sasa kinakwenda kutekeleza kaulimbiu yake ya “Bila Mabadiliko, Hakuna Uchaguzi” kwa lengo la kushinikiza mabadiliko katika mifumo ya uchaguzi nchini. Vuguvugu hilo litahusisha mikutano ya hadhara nchi nzima na kushirikisha wadau tofauti…

Read More

Jinsi Banduka alivyoacha alama | Mwananchi

Mwanga. Viongozi wastaafu wameeleza mchango mkubwa alioutoa marehemu Nicodemus Banduka (80) katika Serikali na Chama cha Mapinduzi (CCM). Kwa nyakati tofauti Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa Msuya na mkuu wa mkoa mstaafu, Daniel Ole Njoolay wamesema mwanasiasa huyo mkongwe alijulikana kwa uzalendo, weledi na uhodari wakati wa uongozi wake na alikuwa mfano wa kuigwa na wengine….

Read More

DR Congo yaishitaki Rwanda mahakama ya Afrika

Arusha. Mvutano wa kisheria umeibuka katika kesi iliyofunguliwa na Seriakali Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) dhidi ya Rwanda kwenye Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) iliyopo jijini Arusha. DRC ilifungua kesi Agosti 2023 na imeanza kusikilizwa leo Februari 12, 2025, mbele ya majaji tisa, ikiongozwa na Rais wa Mahakama hiyo, Jaji…

Read More