Dk Nchimbi ateta na mabalozi wa nchi nne

Dar es Salaam. Mabalozi wa nchi nne wanaowakilisha nchi zao Tanzania, wamejadili mambo manne na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emanuel Nchimbi ikiwamo umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi. Viongozi hao ni kutoka nchini za Marekani, Algeria, Uganda na India na waliofanya mazungumzo na katibu mkuu huyo wa CCM kwa nyakati tofauti…

Read More

Amri ya Trump yang’ata, MDH yapeleka wafanyakazi likizo

Dar es Salaam. Taasisi ya Management and Development for Health (MDH) imetangaza likizo isiyo na malipo kwa wafanyakazi wa mradi wa afya jumuishi nchini Tanzania kufuatia agizo la kusitisha kazi, huku Serikali ikitoa ufafanuzi wa upungufu utakaotokea. Leo Jumatano, Februari 12, 2025 Mwananchi imeiona barua iliyosainiwa jana Jumanne Februari 11 yenye maelekezo hayo kutoka kwa…

Read More

Zanzibar yapata pigo | Mwananchi

Unguja. Kifo cha msanii mkongwe wa taarab, Said Mpenzi, kimeacha pigo kubwa kwa Zanzibar, kwani alikuwa mmoja wa wasanii nyota waliotamba ndani na nje ya visiwa hivyo, akiiletea sifa kubwa nchi hiyo. Msanii huyo alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumanne, Februari 11, 2025. Alikuwa sehemu ya kundi la wasanii waliopigania mapinduzi hata baada ya Mapinduzi…

Read More

Ajinyonga baada ya kupata sifuri matokeo kidato cha nne

Geita. Rabia Paul (19), Mkazi wa Mtaa wa Msalala, Kata ya Kalangalala mjini Geita anadaiwa kujiua kwa kujinyonga baada ya kupata msongo wa mawazo kutokana na matokeo mabaya aliyoyapata katika mtihani wa taifa wa kidato cha nne. Rabia aliyekuwa miongoni mwa wanafunzi 340 waliohitimu kidato cha nne mwaka 2024 katika Shule ya Sekondari Nyanza iliyopo…

Read More

Serikali Imeombwa kupeleka Wataalam UDOM ili waweze kubobea katika Fani ya TEHAMA

  Na Jane Edward, Arusha  Serikali imeombwa kuwapeleka watalamu katika Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)ili waweze kupata mafunzo ya ubobezi katika fani ya TEHAMA  ili kuweza kuboresha utendaji kazi wao na kuleta tija kwa Taifa. Akizungumza katika mahojiano maalumu na waandishi wa habari Mkoani Arusha,Naibu Makamo Mkuu wa Chuo,Taaluma,Utafiti na mshauri elekezi katika Chuo Kikuu…

Read More

TMA yatahadharisha uwepo wa mvua ya mawe, upepo na radi

Mbeya. Mamlaka ya Hali ya Hewa  (TMA) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini  imewataka  wavuvi wa Ziwa Nyasa Wilaya ya Kyela mkoani hapa kuchukua tahadhari kufuatia kuwepo kwa  mvua ya mawe itakayoambatana na upepo mkali, mawimbi na  wingu la radi. Pia, wavuvi hao wametakiwa kuepuka  kasumba  ya kutumia njia za jadi kutabiri athari za  majini…

Read More

Mpanzu ameanza balaa kaeni kwa kutulia

KIUNGO mshambuliaji wa Simba Ellie Mpanzu, ameanza kujipata baada ya juzi kutupia bao la kwanza katika Ligi Kuu Baara, wakati Wekundu wakipata ushindi wa mabao 3-0 nyumbani dhidi ya Tanzania Prisons. Mpanzu aliyeingia Simba kupitia dirisha dogo la usajili lililofungwa mwezi uliopita, alifunga bao hilo baada ya kupokea pasi tamu ya beki wa kulia wa…

Read More