Mahakama yatoa maagizo kesi ya Boni Yai, nyingine yakwama

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeitaka Serikali kukamilisha upelelezi kwa wakati, kesi ya kusambaza taarifa za uongo inayomkabili Meya wa zamani wa Kinondoni na Ubungo, Boniface Jacob maarufu Boni Yai pekee yake. Jacob ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani, anakabiliwa na mashtaka mawili ya kuchapishaji taarifa za uwongo kwenye mtandao…

Read More

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackso amefanya ziara katika Ofisi za za Ubalozi Tanzania katika Umoja wa Mataifa (UN), zilizopo Jijini New York, Marekani.

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, leo tarehe 11 Februari 2025, amefanya ziara katika Ofisi za Ubalozi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa (UN), zilizopo Jijini New York, Marekani.Katika ziara hiyo, Dkt….

Read More

BENKI YA STANBIC YAZINDUA MABORESHO YA HUDUMA YA PRIVATE BANKING JIJINI MWANZA, KULETA SULUHISHO MAALUMU LA USIMAMIZI WA MALI NA FEDHA

  Na mwandishi wetu Mwanza. Benki ya Stanbic imezindua rasmi maboresho ya huduma zake za Private Banking jijini Mwanza, ikiwa ni sehemu ya dhamira yake ya kuendelea kutoa suluhisho maalum za kifedha kwa wateja wake wenye uhitaji mkubwa, wamiliki wa biashara, na wawekezaji mbali mbali. Uzinduzi huu ni hatua muhimu ya kimkakati wa upanuzi wa…

Read More

PIGA MPUNGA USIKU WA LEO KUPITIA MERIDIANBET

Unaweza kubadilisha maisha yako kupitia ligi ya mabingwa ulaya ambapo michezo mbalimbali itachezwa leo kwenye viwanja tofauti tofauti. Tengeneza mkeka wako saa kupitia Meridianbet uibuke na mkwanja. Michezo ambayo itapigwa leo kwenye ligi ya mabingwa ulaya itakua imepewa Odds bomba sana pale Meridianbet, Hivo kwa wale wote wanaobashiri wanapaswa kuweka mkeka wao mapema ili waweze…

Read More

NSSF YATOA ELIMU YA SKIMU YA TAIFA YA HIFADHI YA JAMII YA SEKTA ISIYO RASMI ILIYOBORESHWA KWA KAMATI YA BUNGE

Na MWANDISHI WETU. DODOMA. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Skimu ya Taifa ya Hifadhi ya Jamii kwa Sekta isiyo Rasmi (National Informal Sector Scheme-NISS) iliyoboreshwa inalenga kuwafikia Watanzania wengi zaidi waliojiajiri wenyewe kunufaika na mafao yanayotolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya…

Read More

Wazir Jr amfuata Msuva Irak

MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Wazir Jr Shentembo amejiunga na Al Mina’a FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Irak akimfuata Simon Msuva anayekipiga katika timu ya Al Talaba. Wazir Jr ambaye aliwahi kukipiga Yanga 2020/21, amesaini mkataba wa miezi sita kujiunga na timu hiyo iliyopo nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi hiyo yenye timu 20. Akizungumza…

Read More

Mashujaa dakika 630 bila ushindi Bara

WAZEE wa Mapigo na Mwendo, Mashujaa ya Kigoma imefikisha dakika 630 bila kuonja ushindi katika Ligi Kuu Bara baada ya juzi jioni ikiwa nyumbani kutoka suluhu na Coasta Union. Mashujaa inayoshiriki ligi hiyo kwa msimu wa pili mfululizo tangu ilipopanda mwaka juzi, mara ya mwisho kuonja ushindi ilikuwa Novemba 23, mwaka jana ilipoikamua Namungo ya…

Read More