Uhalisia, katikati ya sheria ya utoaji mimba

Dar es Salaam. Wakati sheria ya Tanzania ikitaja utoaji  mimba ni kosa kisheria, imegundulika baadhi ya wanawake na wasichana nchini wamekuwa wakifika katika vituo vya afya kupata huduma baada ya kuharibika kwa mimba. Hata hivyo, baadhi yao, hufika kuhitaji usaidizi baada ya jaribio la kutoa mimba kugonga mwamba. Hali hiyo ni kinyume na makatazo ya…

Read More

Novatus Miroshi anapita mule mule kwa Samatta

NI ndoto ya vijana wengi wa Kitanzania kufika levo ya Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ya kucheza Ligi kubwa barani Ulaya kutokana na rekodi aliyoweka. Akiwa Mtanzania wa kwanza kuweka rekodi mbalimbali anatajwa kuwa ndiye mchezaji mwenye mafanikio makubwa zaidi kuwahi kutokea nchini akiwa amezitumikia klabu mbalimbali kama TP Mazembe, Aston Villa na Genk…

Read More

Mtanzania ashinda ukurugenzi jumuiya ya afya ECSA-HC

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya wa Tanzania, Dk Ntuli Kapologwe ameibuka mshindi wa nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati na Kusini (ECSA – HC) na kuwashinda wagombea wengine sita waliokuwa wakiwania nafasi hiyo. Uchaguzi wa nafasi hiyo umehitimishwa leo Jumatano, Februari 12,…

Read More

Kagera Sugar hali si shwari

KAGERA Sugar ina kibarua cha kupambana ili kuepuka kushuka daraja kutokana na mambo yalivyo kwa upande wao msimu huu katika Ligi Kuu Bara. Kagera juzi usiku ikiwa nyumbani ilipokea kipigo cha mbao 2-1 kutoka kwa Tabora United na kuiacha isalie katika nafasi ya 15, ikiwa na jumla ya pointi 12 tu kupitia mechi 18, baada…

Read More

Mtanzania achaguliwa Mkurugenzi Mkuu ECSA– HC

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Kinga wa Wizara ya Afya Tanzania, Dk Ntuli Kapologwe, ameibuka mshindi wa nafasi ya Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya Nchi za Afrika Mashariki, Kati, na Kusini (ECSA – HC), baada ya kuwashinda wagombea wengine sita. Dk Ntuli anachukua nafasi hiyo kutoka kwa Profesa Yoswa Dambisya wa Uganda, aliyemaliza…

Read More

Huduma ya choo Stendi Kuu Mbeya kicheko, wananchi wapongeza na kushauri jambo

Mbeya. Miezi sita tangu Mwananchi kiripoti uhaba na uchakavu wa vyoo katika Stendi Kuu ya Mbeya, Halmashauri ya Jiji hilo limeboresha miundombinu hiyo huku wananchi wakipongeza hatua ya utekelezaji wa haraka. Julai 24, 2024 Mwananchi lilieleza changamoto wanazopitia wananchi wakiwamo wasafiri, wahudumu na watumiaji kwa ujumla wa stendi hiyo wanavyohangaika kupata huduma ya choo. Hata…

Read More

Ajali yaahirisha mchezo wa Simba vs Dodoma Jiji

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imesogeza mbele mchezo baina ya Simba na Dodoma Jiji FC ambao ratiba ya awali inaonyesha ilipangwa kuchezwa Februari 15, 2025 katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Kuahirishwa kwa mchezo huo kumekuja ikiwa ni siku mbili tangu msafara wa Dodoma Jiji ulipopata ajali katika eneo la Somanga, Kilwa,…

Read More

Vituo vya umahiri 13 vyaanzishwa vyuoni

Dodoma. Serikali imeanzisha vituo vya umahiri 13 kati ya vituo 13 sawa na asilimia 100 ya lengo la miaka mitano. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Omary Kipanga leo Jumatano Februari 12, 2025, wakati akijibu swali la msingi la Mbunge wa Viti Maalumu (CCM) Shally Raymond. Mbunge huyo amehoji vituo vingapi…

Read More