Malalamiko mikopo ya asilimia 10 yamuibua Zungu bungeni

Dodoma. Naibu Spika wa Bunge, Musa Zungu ameitaka Serikali kufuatilia malalamiko ya vikundi vinavyoomba mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana na wenye ulemavu kuwa hawatendewi haki na baadhi ya watendaji na maofisa maendeleo. Zungu ameyasema hayo leo Jumatano Februari 12, 2025 wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni baada ya Naibu Waziri wa…

Read More

Banduka kuzikwa leo Ugweno Kilimanjaro

Moshi. Mwili wa Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, Nicodemus Banduka (80) ambaye utazikwa leo Jumatano Februari 12, 2025  katika makaburi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Mruma, Ugweno, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Banduka ambaye aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali za uongozi  ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na serikalini amefariki dunia Februari…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Congo itazamwe kwa jicho lingine

Kwa muda usiokuwa chini ya miongo mitatu sasa, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo kumekosa utulivu na kushuhudiwa mauaji ya kutisha baina ya vikundi vinavyopingana na Serikali. Katika muongo mmoja uliopita, mapigano makali yamekuwa yakizuka mara kwa mara na kuifanya Afrika na dunia nzima kuhangaika kurejesha hali ya utulivu kama ilivyokuwa pale mwanzoni. Lakini…

Read More