CAG Kichere ayang’ata sikio mashirika ya umma

Kibaha. Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali (CAG), Charles Kichere amesema mkakati wa serikali kwa sasa ni kuona mashirika ya umma nchini yanajiimarisha kiuchumi ili yajiendeshe bila kutegemea ruzuku ya serikali. Amesema mbali na kujitegemea, pia mashirika hayo yanapaswa kujiwekea utaratibu wa kupeleka gawio la faida yatakayokuwa yanazalisha serikalini kila mwaka, hali itakayosaidia kukuza uchumi…

Read More

Wawili Mchenga Stars kusepa | Mwanaspoti

MKURUGENZI wa Ufundi wa Mchenga Stars, Mohamed Yusuph amesema timu hiyo itawakosa nyota wake wawili, Jordan Manang na Steve Oguto wanaojindaa kusepa klabuni hapo. Mchenga inajiandaa na Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) pamoja na timu nyingine na kwa sasa zinafanya usajili kuimarisha vikosi vyao. Yusuph aliliambia Mwanaspoti, wachezaji hao wanatarajia kutimkia…

Read More

Arajiga, wenzake waula FIFA, wapewa mechi ya Algeria

Mpanga, Said Hamdani na Salum Nasir wameteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kuchezesha mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia baina ya Botswana na Algeria utakaochezwa Francistown, Botswana Machi 21, 2025. Mara ya mwisho Arajiga kuchezesha mechi za kimataifa ilikuwa ni Januari 19, 2025 ambapo alichezesha mchezo wa Kundi B wa Kombe…

Read More

RC ang’aka wanafunzi kukalia matofali, kwenda na viti shule

Tarime.  Uhaba wa madawati katika Shule ya Sekondari ya Nyanungu Wilaya ya Tarime mkoani Mara unawafanya baadhi ya wanafunzi kukalia matofali darasani, huku wengine wakibeba viti kutoka nyumbani kwenda navyo shule. Kutokana na kila mwanafunzi kuwa na kiti cha aina yake, mpangilio darasani sio maalumu hivyo wengine wanalazimika kukaa pembeni kuangalia mlangoni na kugeuza shingo ili kuangalia…

Read More

DPP amfutia kesi Dk Slaa, aachiwa huru

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemfutia kesi mwanasiasa Mkongwe nchini, Dk Wilibrod Slaa (76) baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP) kuieleza Mahakama kuwa hana nia ya kuendelea na shauri hilo dhidi ya mshtakiwa huyo. Mshtakiwa huyo alikuwa anakabiliwa na shitaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika Mtandao wa X kinyume…

Read More

Mwakilishi ahoji kusuasua bandari za Pemba

Unguja. Mwakilishi wa Pandani, Profesa Omar Fakih Hamad amesema licha ya kauli za Serikali za kukusudia kukifungua kisiwa cha Pemba kupitia bandari inayoweza kutoa huduma za kimataifa, uhalisia wa jambo hilo bado haujaonekana. Profesa Hamad amesema hayo wakati akiuliza swali leo Alhamisi Februari 27, 2025 katika mkutano wa 18 wa Baraza la Wawakiliahi. “Ni kwa…

Read More